naam,umenena vemaKwa jinsia yoyote; WAKATI WA KAZI NA NI CHAKULA AMBACHO KINA USALAMA ZAIDI, na haraka hata kubebeka. Chakula hiki kimekuwa maarufu sana pale pirika za kiuchumi zilipoongezeka. Na hii ni sifa ya majiji yote duniani yaani uwepo wa fast food kila kona
Wewe laYou have no point, umeropoka
Wewe sio mgeni kwenye forum hii, ukiona mchango usio na pont achana nao hatufanani Elimu.You have no point, umeropoka