Abdul mndili
Senior Member
- Oct 15, 2016
- 192
- 137
Habari wakuu nikiwa natoka point A kwenda point B hili daladala nililopanda limekamatwa zaidi ya mara 5 na traffic njiani... na kila traficc akikagua anasema gari ni bovu...maana huku kusimamishwa safari ya lisaa limoja yamekuwa masaa mawili na nusu.