Kwanini CUF na CCM Waiandame CHADEMA?

CCM na CUF hawatoi wanawake mavazi yao ya stara...cdm wanafanya hivyo..

Wako tofauti sana hawa
Na wee akili yako ni ileile ya BAKWATA hujui hata kutofautisha hijabu na mtandio. Nyie ndo waislam magumashi hamjui hata kanuni za dini yenu. Lkn mda si mrefu waislam wa kweli watawashtukia na ndipo mtajihisi mko uchi.
 
Na wee akili yako ni ileile ya BAKWATA hujui hata kutofautisha hijabu na mtandio. Nyie ndo waislam magumashi hamjui hata kanuni za dini yenu. Lkn mda si mrefu waislam wa kweli watawashtukia na ndipo mtajihisi mko uchi.

Haya basi cdm wanatoa mitandio ya wanawake lakini CCM na CUF hawafanyi umefurahi!
 
CCM + CUF = Serikali ya kitaifa ya Zanzibar
Serikali ya kitaifa ya Zanzibar = agreement btn CCN and CUF
agreement = ndoa
Conclusion:
C
 
Na wee akili yako ni ileile ya BAKWATA hujui hata kutofautisha hijabu na mtandio. Nyie ndo waislam magumashi hamjui hata kanuni za dini yenu. Lkn mda si mrefu waislam wa kweli watawashtukia na ndipo mtajihisi mko uchi.

Jibu lake rahisi, CUF walishaungana na CCM zamani sana. CDM Ndiyo chama pekee cha upinzani. CUF wanatawala nchi pamoja na CCM
 
CCM + CUF = Serikali ya kitaifa ya Zanzibar
Serikali ya kitaifa ya Zanzibar = agreement btn CCM and CUF
agreement = ndoa
Conclusion:
CCM +CUF = Ndoa
 
Hlw , am a new comer in dis community, so guyz am ver greatiful 4 being hear wit u frm 2day!! Thank u all....

Karibu sana,huku marufuku kufikiri kwa kutumia masaburi.Thats principle no1
 
ina maana hujui cuf wanatunza ndoa yao na ccm?chama cha upinzani tanganyika ni chadema...hiyo hata Bakwata wanajua mbona.
 
CHADEMA is the NAME OF THE GAME! pasipo kuitaja hilo chama watu hawawezi wasikiliza!
 
toe
ni sera jamani acheni kuwaza cdm mda wote
 
Kawaida mke na mume wanaweza kushambuliana wakiwa ndani ya nyumba yao - lakini wakitoka nje lao linakuwa moja, wanafuta tofauti zao na wanaelekeza mashambulia yao kwako. kuwa makini sana mnapo deal na wanandoa.
ina maana hujui cuf wanatunza ndoa yao na ccm?chama cha upinzani tanganyika ni chadema...hiyo hata Bakwata wanajua mbona.
CCM + CUF = Serikali ya kitaifa ya Zanzibar
Serikali ya kitaifa ya Zanzibar = agreement btn CCM and CUF
agreement = ndoa
Conclusion:
CCM +CUF = Ndoa

Wakuu, hili la kuuita ushirikiano wa CUF na CCM ni ndoa, wenyewe hawapendi hili neno!.
imeelezwa hilo neno ndoa ni tusi kwa wenzetu!. angalia hapa
Matusi hayo.

Mimi ni CCM lakini wewe Pasco hii lugha uliyotumia hapa ni ya kishenzi na si lugha ya kisiasa.

Punguani wahed.
Nisianze nini wewe? hakuna ndoa ya kisiasa duniani, sijawahi kuona, onesha moja kama u mkweli.

Hizi lugha za kishenzi pelekeni hukohuko, kama kwenu ni kawaida wengine zinatuudhi. kama huo si ushenzi na matusi ni nini?

Natoa wito tusilitumie tena neno hili neno ndoa ya CCM na CUF!, ni matusi!.

Pasco
 
cuf wajifanyie tathmini wenyewe... muafaka unaslahi kwa znz? au ccm?...chini ya UKAWA znz itakuwa huru... with mamlaka kamili...
.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…