Sio wanataka! Mbona nchi walishaichukua bado kushika dola tu? Mengi yanayotakiwa na CDM Serikali hufuata nyayo hata kama hayakuwepo kwenye Ilani yao! Km Katiba mpya, bei ya sukari, kuvuana magamba, nk! Magamba yanapelekeshwa puta mpaka hayana raha! Yamesahau ahadi yaliyotoa, kazi kuzuia maandamano tu!
Basi hiyo status inawafaa sana...baki hivyo hivyo bila dola...