izzo
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 2,812
- 6,381
watanganyika na wapemba walijitolea sana katika ku support cuf kwa hari na Mali nakumbuka mwingine walitoa mpaka magari yao ktk harakati za chama mpaka chama kikawa tishio kwa serikali ya ccm ikabidi watumie kada wao Mr omar maita na mpaka mzee wa azamu akamwagiwa ngano yake yote ni katika ku support cuf kwa hari na Mali nakumbuka ilikuwa cuf ngangali kweli kweli bt walipogeukia mambo mengine badala ya kuitoa ccm wakawa wanaalalisha uwepo wa vyama vingi tu tanganyika lakini wenzao wa zanzibar wapo serious