Kwanini Clouds wameingilia tarehe 4/12 ya EFM?

Kwanini Clouds wameingilia tarehe 4/12 ya EFM?

Sie hatuna shida na shemeji. 4/12 ni mwendo wa kisingeli tu. Na vile hamna kiingilio tunakesha afu asubuhi tunaamkua kwa mwamposa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
dah nimecheka sanaaa
 
Hii ni ishara ya uoga. Hiyo ni biashara, ushindani upo na ndiyo kama hivyo.

Weka niweke tuone nani mkubwa.

Komaeni kupambana acheni uoga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom