Kwanini chakula Cha MSIBANI ni kitamu?

Kwanini chakula Cha MSIBANI ni kitamu?

"chakula cha msibani ni kitamu ikiwa tu kama hakijapikwa kwenu"
Kuna msemo unasema hivyo. 👆🏽

Na uzuri ni kwamba kila familia itapata msiba, it's just a matter of time. .
Muda ukifika, kila mmoja atajua kama ni kitamu au sio kitamu.

na kama mtu hatopata msiba, it means that yeye ndo kawa msiba na watu watakuwa wamekusanyika kwa ajili yake.
 
Hizi ni baadhi ya SABABU ila inayoshinda na isiyo na shaka ni MOJA.

SABABU.

unakuwa na njaa sana kabla ya kula ukizingatia chakula Cha MSIBANI uchelewa kuliwa, mnaweza kula saa 9, 10, WENGINE ni BAADA au kabla ya mazishi.

Chakula cha msibani huandaliwa kwa juhudi kubwa na wapishi wengi japo Huwa halina vionjo vingi mafuta mengi KWENYE wali ufanya KUWA na wali mkavu YAANI unakaba Koo na unatakiwa KUWA na maji pembeni hii inaongeza hamu.

Watu hula kwa pamoja hivyo mazingira yanaweza kufanya chakula kionekane kitamu zaidi.

Misiba mingin tunakula Kwa mikono, Kula kwa mkono pia kunaweza kuongeza hisia ya ladha kwa baadhi ya watu kuliko kutumia kijiko

SABABU KUBWA INAYOUPA PROMO WALI WA MSIBANI NI NJAA INAYOTUKUMBA HASA WENGI TUKIWA KATIKA PURUKUSHANI ZA HAPA NA PALE MARA FATA HIKI MARA NENDA HOSPITALI MARA SIMAMA JUANI MPAKA BAS
Subiri ufe wewe wakati wanakula Cha kwako ndio ujue
 
Chawa wako tukuka nipo hapa🤣
Kuna siku nililewa nilitaka kufanya upumbavu wa kumwaga hela humu kwa atakae patia herufi ya jina langu la kwanza kwa watu 20 , nilikua nimeahidi nawapa 200k kwa kila mmoja nashukuru sana mods ule uzi haukupanda😂

Na ni baada ya nyumbu mmoja kuniita jobless 😭😭
 
Kuna siku nililewa nilitaka kufanya upumbavu wa kumwaga hela humu kwa atakae patia herufi ya jina langu la kwanza kwa watu 20 , nilikua nimeahidi nawapa 200k kwa kila mmoja nashukuru sana mods ule uzi haukupanda😂

Na ni baada ya nyumbu mmoja kuniita jobless 😭😭
Mods nawapa NB ya Mh Sugu🤣🤣🤣

Maana lazima ningepatia. Ningefungua na id zingine 10.
 
Hizi ni baadhi ya SABABU ila inayoshinda na isiyo na shaka ni MOJA.

SABABU.

unakuwa na njaa sana kabla ya kula ukizingatia chakula Cha MSIBANI uchelewa kuliwa, mnaweza kula saa 9, 10, WENGINE ni BAADA au kabla ya mazishi.

Chakula cha msibani huandaliwa kwa juhudi kubwa na wapishi wengi japo Huwa halina vionjo vingi mafuta mengi KWENYE wali ufanya KUWA na wali mkavu YAANI unakaba Koo na unatakiwa KUWA na maji pembeni hii inaongeza hamu.

Watu hula kwa pamoja hivyo mazingira yanaweza kufanya chakula kionekane kitamu zaidi.

Misiba mingin tunakula Kwa mikono, Kula kwa mkono pia kunaweza kuongeza hisia ya ladha kwa baadhi ya watu kuliko kutumia kijiko

SABABU KUBWA INAYOUPA PROMO WALI WA MSIBANI NI NJAA INAYOTUKUMBA HASA WENGI TUKIWA KATIKA PURUKUSHANI ZA HAPA NA PALE MARA FATA HIKI MARA NENDA HOSPITALI MARA SIMAMA JUANI MPAKA BAS
20251221_174817.jpg

Misiba mingine hadi unaomba kuongeza jinsi menu ilivyo heavy!
 
Mk
Hizi ni baadhi ya SABABU ila inayoshinda na isiyo na shaka ni MOJA.

SABABU.

unakuwa na njaa sana kabla ya kula ukizingatia chakula Cha MSIBANI uchelewa kuliwa, mnaweza kula saa 9, 10, WENGINE ni BAADA au kabla ya mazishi.

Chakula cha msibani huandaliwa kwa juhudi kubwa na wapishi wengi japo Huwa halina vionjo vingi mafuta mengi KWENYE wali ufanya KUWA na wali mkavu YAANI unakaba Koo na unatakiwa KUWA na maji pembeni hii inaongeza hamu.

Watu hula kwa pamoja hivyo mazingira yanaweza kufanya chakula kionekane kitamu zaidi.

Misiba mingin tunakula Kwa mikono, Kula kwa mkono pia kunaweza kuongeza hisia ya ladha kwa baadhi ya watu kuliko kutumia kijiko

SABABU KUBWA INAYOUPA PROMO WALI WA MSIBANI NI NJAA INAYOTUKUMBA HASA WENGI TUKIWA KATIKA PURUKUSHANI ZA HAPA NA PALE MARA FATA HIKI MARA NENDA HOSPITALI MARA SIMAMA JUANI MPAKA BAS
MKuu ngoja siku tukija kwako kwenye msiba wa first born wako ndio tutajadili hili.

Tutaomba utueleze kama ubwabwa wa hapo nyumbani kwako ni mtamu
 
Back
Top Bottom