Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,493
- 176,574
Usinikumbushe machungu shindii😭😭😭Shindii kasalari hakajatoka tu 😅
Usinikumbushe machungu shindii😭😭😭Shindii kasalari hakajatoka tu 😅
Shindii tunaoshinda humu si mnatuita ma jobless 😀 haupati kitu shindiii wangu🤣🤣🤣Usinikumbushe machungu shindii😭😭😭
Kumbe mnashinda humu na hamsemi🙆♂️🙆♂️Shindii tunaoshinda humu si mnatuita ma jobless 😀 haupati kitu shindiii wangu🤣🤣🤣
Sio tuna shinda tu tunaogelea kabisa shindii😃Kumbe mnashinda humu na hamsemi🙆♂️🙆♂️
Mko na siri sana🤣
Nipeni siri ya mafanikio🤣Sio tuna shinda tu tunaogelea kabisa shindii😃
Shindii ni akili tu mtu wangu , juzi nilikua natazama picha za NASA jinsi kadunia kalivyo halafu nashindwa shindwa vipi🤣Nipeni siri ya mafanikio🤣
Kadunia kenyewe kaduuuuunchu halafu katuumize kichwa kweli!!!Shindii ni akili tu mtu wangu , juzi nilikua natazama picha za NASA jinsi kadunia kalivyo halafu nashindwa shindwa vipi🤣
Shindii tripu hii afe kipa afe beki lazima niweke heshima ya kibabe😅Kadunia kenyewe kaduuuuunchu halafu katuumize kichwa kweli!!!
Chawa wako tukuka nipo hapa🤣Shindii tripu hii afe kipa afe beki lazima niweke heshima ya kibabe😅
Subiri ufe wewe wakati wanakula Cha kwako ndio ujueHizi ni baadhi ya SABABU ila inayoshinda na isiyo na shaka ni MOJA.
SABABU.
unakuwa na njaa sana kabla ya kula ukizingatia chakula Cha MSIBANI uchelewa kuliwa, mnaweza kula saa 9, 10, WENGINE ni BAADA au kabla ya mazishi.
Chakula cha msibani huandaliwa kwa juhudi kubwa na wapishi wengi japo Huwa halina vionjo vingi mafuta mengi KWENYE wali ufanya KUWA na wali mkavu YAANI unakaba Koo na unatakiwa KUWA na maji pembeni hii inaongeza hamu.
Watu hula kwa pamoja hivyo mazingira yanaweza kufanya chakula kionekane kitamu zaidi.
Misiba mingin tunakula Kwa mikono, Kula kwa mkono pia kunaweza kuongeza hisia ya ladha kwa baadhi ya watu kuliko kutumia kijiko
SABABU KUBWA INAYOUPA PROMO WALI WA MSIBANI NI NJAA INAYOTUKUMBA HASA WENGI TUKIWA KATIKA PURUKUSHANI ZA HAPA NA PALE MARA FATA HIKI MARA NENDA HOSPITALI MARA SIMAMA JUANI MPAKA BAS
Kuna siku nililewa nilitaka kufanya upumbavu wa kumwaga hela humu kwa atakae patia herufi ya jina langu la kwanza kwa watu 20 , nilikua nimeahidi nawapa 200k kwa kila mmoja nashukuru sana mods ule uzi haukupanda😂Chawa wako tukuka nipo hapa🤣
Mods nawapa NB ya Mh Sugu🤣🤣🤣Kuna siku nililewa nilitaka kufanya upumbavu wa kumwaga hela humu kwa atakae patia herufi ya jina langu la kwanza kwa watu 20 , nilikua nimeahidi nawapa 200k kwa kila mmoja nashukuru sana mods ule uzi haukupanda😂
Na ni baada ya nyumbu mmoja kuniita jobless 😭😭
Noooo ni I'd 20 za mwanzo na ungejua vipi umepatia bila mimi kufunga zoezi😅Mods nawapa NB ya Mh Sugu🤣🤣🤣
Maana lazima ningepatia. Ningefungua na id zingine 10.
Si ni S>Shindikana🤣🤣Noooo ni I'd 20 za mwanzo na ungejua vipi umepatia bila mimi kufunga zoezi😅
Hahahaha mpaka nilewe nitambae😁Si ni S>Shindikana🤣🤣
Ngoja niongee vizuri na mashirimaa. Akuchanganyie vitu hadi nikuijie na toroli.Hahahaha mpaka nilewe nitambae😁
Hizi ni baadhi ya SABABU ila inayoshinda na isiyo na shaka ni MOJA.
SABABU.
unakuwa na njaa sana kabla ya kula ukizingatia chakula Cha MSIBANI uchelewa kuliwa, mnaweza kula saa 9, 10, WENGINE ni BAADA au kabla ya mazishi.
Chakula cha msibani huandaliwa kwa juhudi kubwa na wapishi wengi japo Huwa halina vionjo vingi mafuta mengi KWENYE wali ufanya KUWA na wali mkavu YAANI unakaba Koo na unatakiwa KUWA na maji pembeni hii inaongeza hamu.
Watu hula kwa pamoja hivyo mazingira yanaweza kufanya chakula kionekane kitamu zaidi.
Misiba mingin tunakula Kwa mikono, Kula kwa mkono pia kunaweza kuongeza hisia ya ladha kwa baadhi ya watu kuliko kutumia kijiko
SABABU KUBWA INAYOUPA PROMO WALI WA MSIBANI NI NJAA INAYOTUKUMBA HASA WENGI TUKIWA KATIKA PURUKUSHANI ZA HAPA NA PALE MARA FATA HIKI MARA NENDA HOSPITALI MARA SIMAMA JUANI MPAKA BAS
Shindiii mashirima haelewekiNgoja niongee vizuri na mashirimaa. Akuchanganyie vitu hadi nikuijie na toroli.
MKuu ngoja siku tukija kwako kwenye msiba wa first born wako ndio tutajadili hili.Hizi ni baadhi ya SABABU ila inayoshinda na isiyo na shaka ni MOJA.
SABABU.
unakuwa na njaa sana kabla ya kula ukizingatia chakula Cha MSIBANI uchelewa kuliwa, mnaweza kula saa 9, 10, WENGINE ni BAADA au kabla ya mazishi.
Chakula cha msibani huandaliwa kwa juhudi kubwa na wapishi wengi japo Huwa halina vionjo vingi mafuta mengi KWENYE wali ufanya KUWA na wali mkavu YAANI unakaba Koo na unatakiwa KUWA na maji pembeni hii inaongeza hamu.
Watu hula kwa pamoja hivyo mazingira yanaweza kufanya chakula kionekane kitamu zaidi.
Misiba mingin tunakula Kwa mikono, Kula kwa mkono pia kunaweza kuongeza hisia ya ladha kwa baadhi ya watu kuliko kutumia kijiko
SABABU KUBWA INAYOUPA PROMO WALI WA MSIBANI NI NJAA INAYOTUKUMBA HASA WENGI TUKIWA KATIKA PURUKUSHANI ZA HAPA NA PALE MARA FATA HIKI MARA NENDA HOSPITALI MARA SIMAMA JUANI MPAKA BAS