Cherecheche
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 4,785
- 9,157
Kamba\chai.Huwa wanapikia/kuchanganya na maji ya maiti.. Hii ni mjawapo ya kutoa nuksi ili msiba mwingine usitokee siku za karibuni katika nyumba moja
Kamba\chai.Huwa wanapikia/kuchanganya na maji ya maiti.. Hii ni mjawapo ya kutoa nuksi ili msiba mwingine usitokee siku za karibuni katika nyumba moja
Wageni wa daslamu wanajulikana shindii , nikikuona nakugombeza kwa nguvu😃
Saa hiyo nipo na pombe zangu kichwani ndio utajua haujui😃🤣🤣🤣🤣 kwani najali sasa!
Mbele ya machalari ya msibani simsikilizi yeyote
Mlevi wa ukoo kwani hata tunakuzingatia sasa!🤣🤣Saa hiyo nipo na pombe zangu kichwani ndio utajua haujui😃
Nitakapo gomba urudi nyuma kwa sauti ya juu ndio utajua haujui shindiiMlevi wa ukoo kwani hata tunakuzingatia sasa!🤣🤣
Alafu ujue unapiga kelele MSIBANI na kasauti hakana base😄😄😄ya kwamba na hii ni mada...😅
Siyo chai, hizo ni za ndani kabisa, wanaojua hii siri ni waosha maiti tu.. 🤝Kamba\chai.
Walevi hatuwazingatiii, uniache mgeni wa daslam🤣Nitakapo gomba urudi nyuma kwa sauti ya juu ndio utajua haujui shindii
Ila wakati wa pesa mnatuzingatia😜Walevi hatuwazingatiii, uniache mgeni wa daslam🤣
Pesa na iheshimiwe🤣Ila wakati wa pesa mnatuzingatia😜
Shindii karibu biaPesa na iheshimiwe🤣
Ngararimo na bia haviendani. Unataka nichanganye mambo?Shindii karibu bia
Shindii kasalari hakajatoka tu 😅Ngararimo na bia haviendani. Unataka nichanganye mambo?