MotoYaMbongo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,146
- 884
Inaonesha wewe huijui Chadema vizuri, bora ukae kimya kuliko kuongea uharo wako humu.
Nyani haoni kundule. Ndani ya CCM je? Mbona mmeshindwa kumvua gamba?Sio kama wanamuopa Lowassa, ndani ya Chadema kwenyewe kuna mapandikizi wa Lowassa.
Kati ya watu wanaomkubali sana Lowassa ni Dr Slaa na F.Mbowe.
Wapi Lowassa aliposhiriki kikamilifu akiisimamia ccm dhidi ya cdm na cdm wakamuogopa Lowassa?me najua mfano mmoja tu Lowassa aliisimamia c.c.m dhidi ya cdm,napo ni Arusha mjini,aibu aliyoipata yeye na chama chake na mtu wake wanaijua wenyewe!toa mifano hai minne tu kusupport kauli yako,otherwise utakua empty brain,domokaya mropokaji bila kufikiri!
Kati ya watu wanaomkubali sana Lowassa ni Dr Slaa na F.Mbowe.
Sio kuwa CDM wanapata homa kuhusu huyo jamaa. Ninachokiona ni CCM ndo wanapata homa kuona kuwa mtu wanaejitahidi kumchafua usiku na mchana anawazidi nguvu na hawana cha kumfanya zaidi ya kuacha apeperushe bendera. Kweli chama ni legelege, ndo mana na serikali ni mdebwedo.Washabiki na wanachama wengi wa CHADEMA hupata homa endapo watasikia Lowasa atashiriki kikamilifu katika ushindani wa kisiasa dhidi yao akiisimamia CCM. Hofu na homa hii ya CHADEMA dhidi ya Lowasa ya nini na inatoka wapi?
Sio kama wanamuopa Lowassa, ndani ya Chadema kwenyewe kuna mapandikizi wa Lowassa.
Kati ya watu wanaomkubali sana Lowassa ni Dr Slaa na F.Mbowe.
Dr Slaa aliwahi kusema EL si fisadi na hahusiki na Richmond.
Mkuu nime like hii
Duh ndugu yangu...! Unaikumbuka ile first eleven ya mafisadi (list of shame!) iliyoorodheshwa na Dr. Slaa katika mkutano uliofanyika Mwembe Yanga, Temeke tarehe 15 Septemba, 2007. Niruhusu nikukumbushe!
1. Jakaya Mrisho Kikwete - Raisi kupitia CCM
2. Benjamin W. Mkapa - Raisi mstaafu kupitia CCM.
3. Edward Lowassa - Mbunge kupitia CCM, Monduli.
4. Rostamu Azizi - sasa Mbunge mstaafu kupitia CCM, Igunga.
5. Andrew J. Chenge - Mbunge kupitia CCM, Bariadi.
6. Dr. Daudi T.S. Balali - sasa marehemu ?
7. Nimrod Mkono - mgombea ubunge kupitia CCM, Musoma vijijini
8. Nazir Karamagi - Waziri mstaafu.
9. Patrick P. R. Rutabanzibwa - Katibu Mkuu
10. Basil P. Mramba - Mbunge kupitia CCM, Rombo.
11. Gray S. Mgonja - Kaibu Mkuu mstaafu, Hazina.
Aprili 16, 2011 akiwa Tabora Dr. Slaa aliongezea majina sita likiwemo jina la Waziri wa Ujenzi, John Pombe Magufuli, kwenye orodha ya mwanzo ya mafisadi na KUFIKISHA jumla ya watu 17.
Sasa MNYISANSU, hilo dai lako unalitoa wapi?
Ili kuthibisha kuwa wewe sio mdaku, mwana mipasho, na duni wa kufikiri hebu tuwekee hapa list ya mapandikizi wa lowasa ndani ya CDM ili tuweze kuchambua profile zao na utuonyeshe matendo yao yanayowafunganisha na lowassa,otherwise as normal you remain a tabula rasaSio kama wanamuopa Lowassa, ndani ya Chadema kwenyewe kuna mapandikizi wa Lowassa.
Washabiki na wanachama wengi wa CHADEMA hupata homa endapo watasikia Lowasa atashiriki kikamilifu katika ushindani wa kisiasa dhidi yao akiisimamia CCM. Hofu na homa hii ya CHADEMA dhidi ya Lowasa ya nini na inatoka wapi?
Kati ya watu wanaomkubali sana Lowassa ni Dr Slaa na F.Mbowe.
Washabiki na wanachama wengi wa CHADEMA hupata homa endapo watasikia Lowasa atashiriki kikamilifu katika ushindani wa kisiasa dhidi yao akiisimamia CCM. Hofu na homa hii ya CHADEMA dhidi ya Lowasa ya nini na inatoka wapi?
Kamuulize Chilligati na Msekwa watakueleza kwa nini tunamuogopa.
EL anaweza kuwa mgombea urais kupitia chadema 2015,subiri wazee waseme
namwonea huruma JK na mafisadi wenzake