Kwanini CHADEMA inachangisha hela ya matibabu ya Lissu?

neo1

JF-Expert Member
Sep 1, 2013
577
838
Habari wana jamvi,

Kwanza nampa pole ndugu Tundu Lissu kwa majanga yaliyotokea kwake. Kitendo kilochofanyika kwake sio sawa na haikubaliki kwenye jamii ya kidemocrasia na jamii ya kistaarabu. Pia ni kuharibu image ya taifa.Tunapishana kwa hoja. Lazima tujenge jamii inayosema na isiyo na uoga lazima viongozi wakubali kukosolewa lazima kuwepo na uvumilivu wa kisiasa.

CHADEMA ni chama kikubwa na pia chama kinapata ruzuku toka serikalini zaidi ya 500M kwa mwezi> nikikosea naomba kusahihishwa.
Kutokana na tukio la Lissu naona wanatembeza bakuli la kuchangiwa kwa matibabu ya Lissu.
CHADEMA wakati wa vugu vugu la njaa nchini mlisema kama serikali haitatoa chakula kwa wananchi mlisema mtawapatia chakula cha msaada wahitaji wote nchi nzima, leo wananchi wale wale mnawaomba mchango wa matibabu, hapo bado sijaona logic!.
Kwa nini msingefanya fundrising na kuweka target ya hela mnayotaka kwa ajili ya matibabu ya mh Lissu kwenye chama kuna watu wakubwa kama Lowasa, Sumaye ambao wangealika marafiki wachache mngepata michango mizuri!

Leo bunge limetoa nusu ya posho kwa kila mbunge jumla imepatikana 45M.
Je hizi mmezihesabu kwenu au kwenye matibabu ya Lissu! Je hela ya matibabu ya matibabu ikizidi na gharama ikawa ndogo kuliko mlichokusanya,je hela itaingia kwenye mifuko ya chama? Atapewa mhanga(Lissu) au ndo itakuwa imetoka. Je mtakuwa tofauti na serikali kwa ilochofanya Bukoba?

Je kweli CHADEMA ni chama cha matukio? Sasa mnaamua kutembelea tukio la mh Lissu kupata huruma ya jamii? Je policy yenu ni CHADEMA mtafanyia nini jamii au ni jamii itawafanyia nini CHADEMA. Pamoja kuwa hamna dola je mnafanya nini kuinua afya, elimu, maji, chakula kwa kaya, kuitangaza nchi kimataifa! Zaidi ya kulalamika?.

Zaidi ya yoyote sikubaliani na ombi lenu la kuchangiwa kwa matibabu ya mh Lissu unless mnataka kuanzisha mfuko kwa ajili ya kuhudumia wananchi maskini wasio weza kujihudumia kwa afya!

Tunajenga nchi moja tukubaliane na kupingana kwa hoja!.

Neo
 
Sababu ni wapiga dili wazoefu, mtu kashatibiwa vizuri na madaktari bingwa wanampeleka Kenya ili kujustify michango yao.
 
Kinachowauma nyie maccm ni kitu gani?
Sisi tunachanga siyo kwa sababu cdm wameshindwa kumlipia, bali ni kwa mahaba yetu sisi wanachama wenyewe kwa kuthamini mchango wa Lissu, sauti yake na damu yake iliyomwagika bila hatia!
Sisi wananchi na wapinga ukatili wa aina aliyofanyiwa Lissu tutamchangia kwa hali na mali, accnt ya cdm isiguswe kwenye hili!
 
Habari wana jamvii.
Kwanza nampa pole ndugu Tundu Lissu kwa majanga yaliyotokea kwake!.kitendo kilochofanyika kwake sio sawa na haikubaliki kwenye jamii ya kidemocrasia na jamii ya kistaarabu. Pia ni kuharibu image ya taifa.Tunapishana kwa hoja.lazima tujenge jamii inayosema na isiyo na uoga!.lazima viongozi wakubali kukosolewa.lazima kuwepo na uvumilivu wa kisiasa..

Chadema ni chama kikubwa na pia chama kinapata ruzuku toka serikalini zaid ya 500M kwa mwezi> nikikosea naomba kusahihishwa.
Kutokana na tukio la Lissu naona wanatembeza bakuli la kuchangiwa kwa matibabu ya Lissu.
Chadema wakati wa vugu vugu la njaa nchini mlisema kama serikali haitatoa chakula kwa wananchi mlisema mtawapatia chakula cha msaada wahitaji wote nchi nzima, leo wananchi wale wale mnawaomba mchango wa matibabu,hapo bado sijaona logic!.
Kwa nini msingefanya fundrising na kuweka target ya hela mnayotaka kwa ajili ya matibabu ya mh Lissu.kwenye chama kuna watu wakubwa km Lowasa,Sumaye ambao wangealika marafiki wachache mngepata michango mizuri!

Leo bunge limetoa nusu ya bosho kwa kila mbunge jumla imepatikana 45M.
Je hizi mmezihesabu kwenu au kwnye matibabu ya Lissu!... je hela ya matibabu ya matibabu ikizidi na ghalama ikawa ndogo kuliko mlichokusanya,je hela itaingia kwenye mifuko ya chama??,atapewa mhanga(Lissu) au ndo itakuwa imetoka.je mtakuwa tofauti na serikali kwa ilochofanya Bukoba??

Je kweli Chadema ni chama cha matukio??.sasa mnaamua kutembelea tukio la mh Lissu kupata huruma ya jamii???...je policy yenu ni Chadema mtafanyia nini jamii au ni jamii itawafanyia nini Chadema??. Pamoja kuwa hamna dola je mnafanya nini kuinua afya,elimu,maji,chakula kwa kaya,kuitangaza nchi kimataifa! Zaid ya kulalamika???.
Zaid ya yoyote sikubaliani na ombi lenu la kuchangiwa kwa matibabu ya mh Lissu unless mnataka kuanzisha mfuko kwa ajili ya kuhudumia wananchi maskini wasio weza kujihudumia kwa afya!
Tunajenga nchi moja tukubaliane na kupingana kwa hoja!.
Neo
we kinakuuma nini? mi nshachanga elfu 2 ,kama huwezi tuliza kipusa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom