Kwanini CCM wengi mazuzu

Kwanini CCM wengi mazuzu

kakini

Senior Member
Joined
Mar 31, 2011
Posts
197
Reaction score
33
Katika utafiti wangu nimekuja kuona ccm wanachama wengi wa ccm na viongozi wao wapo kimaslahi yao na hawana jipya la kufanya kimaendeleo.

Karibia wote ni vilaza wanaopewa nafasi kubwa serikalini ndio maana wanasababisha matatizo makubwa kama ufisadi, na maisha magumu yanayowakabili wananchi wengi kwa sasa.

Wamekuwa wakikimbilia cheap popularity kwa watu wasio na uelewa wa mambo yanavoenda mbona hawawezi kutoa tathmini ya mandeleo wanayoyafanya mbele ya watu wanao fatilia na wasomi kwa ujumla.

Mimi binafsi naona ni ukomo wao maana zama zao zilikuwa za kuongoza watu walio gizani. Kama sasa wanalalamika wanavyuo kuwazomea je walipozomewa na wananchi wa ubungo wakati wametoka sijui kutoa magamba yao wale walikuwa ni wanachuo????

Ccm mmekwisha hakuna mnalolifanya kwa sasa zaidi ya kutuletea matatizo kila siku. Mnaposema jamii forums inawachafua kwani inaandika uwongo???

Chadema wanapowapinga wanakosea????

Kwa kweli nyie sio siri ni mabogas mlio pitiliza
 
.........Hata kama ulikuwa mtu unajua kujenga hoja ukiungana na CCM lazima uwe kilaza,kuna pepo mbaya sana pale anachakachua akili za watu...Tazama hawa kabla awajajiunga CCM au kukubaliana na mawazo ya CCM

  1. Tambwe Hiza
  2. Prof Lipumba
  3. James Mbatia wa NCCR Manunuzi according to Mh Halima Mdee
Pima mawazo yao before CCM and after CCM..........
 
Katika utafiti wangu nimekuja kuona ccm wanachama wengi wa ccm na viongozi wao wapo kimaslahi yao na hawana jipya la kufanya kimaendeleo.

Karibia wote ni vilaza wanaopewa nafasi kubwa serikalini ndio maana wanasababisha matatizo makubwa kama ufisadi, na maisha magumu yanayowakabili wananchi wengi kwa sasa.

Wamekuwa wakikimbilia cheap popularity kwa watu wasio na uelewa wa mambo yanavoenda mbona hawawezi kutoa tathmini ya mandeleo wanayoyafanya mbele ya watu wanao fatilia na wasomi kwa ujumla.

Mimi binafsi naona ni ukomo wao maana zama zao zilikuwa za kuongoza watu walio gizani. Kama sasa wanalalamika wanavyuo kuwazomea je walipozomewa na wananchi wa ubungo wakati wametoka sijui kutoa magamba yao wale walikuwa ni wanachuo????

Ccm mmekwisha hakuna mnalolifanya kwa sasa zaidi ya kutuletea matatizo kila siku. Mnaposema jamii forums inawachafua kwani inaandika uwongo???

Chadema wanapowapinga wanakosea????

Kwa kweli nyie sio siri ni mabogas mlio pitiliza

Halafu wakisema JF ni ya CDM watu mnakuja juu, wakati uthibitisho uko wazi wazi
 
Ndio vision na focus yao, adopting mazuzu wasioweza kuhoji.
 
JAMII FORUMS SIO YA CHADEMA wewe brainless naona huna hoja na upo kichama zaidi jamii forums ni mtandao wa watu wwlio elimika na wenye uwezo wa kufikiri na kupembua uchafu na uozo wa mtu flani, jambo flani , chama flani au kiongozi flani ingawa wanaCCM mnaona mnaandamwa nyie kwakuwa mmeoza katika utendaji wenu kiutendaji ni kiakili mpo chini sana.

CHADEMA haimiliki Jamii forums ila watu walio kwenye huu mtandao wanakipa hadhi kutokana na watu walioko chadema, utendaji wao wa kazi uwezo wao wa kufikiri na vilevile umakini wao katika swala la maendeleo ya nchi kwa ujumla.

Kama Jamii forum ni Ya CHADEMA wewe unatafuta nini humu ndani waache wana chadema wabaki wenyewe toa kihereher chako peleka kwa mazuzu wenzako wewe unaejiita GENIUS BRAIN hauna maana hata chembe:sleepy:
 
Channel ten wametangaza katika taarifa ya habari asubuhi hii.

Mkuu wa mkoa wa Mara amemkamata diwani wa Chadema katika kata moja wilayani Serengeti akiwa anamiliki bunduki AK47 kinyume na sheria. Alikiri kwamba yeye na ndugu zake wamekuwa wakimiliki

Alichukuliwa kutoka kikao cha madiwani akahojiwa na kukiri. Kisha akawapeleka kwenda kuwaonesha mahali alipoifukia
 
kama viongozi mazuzu unategemea wanachama watakuwa weledi lazima nao wawe mazuzu tu
 
Channel ten wametangaza katika taarifa ya habari asubuhi hii.

Mkuu wa mkoa wa Mara amemkamata diwani wa Chadema katika kata moja wilayani Serengeti akiwa anamiliki bunduki AK47 kinyume na sheria. Alikiri kwamba yeye na ndugu zake wamekuwa wakimiliki

Alichukuliwa kutoka kikao cha madiwani akahojiwa na kukiri. Kisha akawapeleka kwenda kuwaonesha mahali alipoifukia

so unataka tufanyeje?????
 
JAMII FORUMS SIO YA CHADEMA wewe brainless naona huna hoja na upo kichama zaidi jamii forums ni mtandao wa watu wwlio elimika na wenye uwezo wa kufikiri na kupembua uchafu na uozo wa mtu flani, jambo flani , chama flani au kiongozi flani ingawa wanaCCM mnaona mnaandamwa nyie kwakuwa mmeoza katika utendaji wenu kiutendaji ni kiakili mpo chini sana.

CHADEMA haimiliki Jamii forums ila watu walio kwenye huu mtandao wanakipa hadhi kutokana na watu walioko chadema, utendaji wao wa kazi uwezo wao wa kufikiri na vilevile umakini wao katika swala la maendeleo ya nchi kwa ujumla.

Kama Jamii forum ni Ya CHADEMA wewe unatafuta nini humu ndani waache wana chadema wabaki wenyewe toa kihereher chako peleka kwa mazuzu wenzako wewe unaejiita GENIUS BRAIN hauna maana hata chembe:sleepy:

Tufanye tu iwe ya chadema,kwani ni kosa chadema kuwa na forum au chombo cha habari?
Mbona sijasikua watu wakilalamika eti Uhuru,tbc ni vya ccm?

Waache waanzishe forum yao pia,nitakua wa kwanza kujiunga huko kama hawataifunga siku mbili tu
 
Tufanye tu iwe ya chadema,kwani ni kosa chadema kuwa na forum au chombo cha habari?
Mbona sijasikua watu wakilalamika eti Uhuru,tbc ni vya ccm?

Waache waanzishe forum yao pia,nitakua wa kwanza kujiunga huko kama hawataifunga siku mbili tu

speaker katiak hali ya kawaida CCM hakuna dira wala uwelekeo wowote kolimba si alshawaambia???? CCM HAKUNA DIRA
wafuasi wengi wa CCM ni wasiojua kinachoendelea na ndio maana wanawabeba na mabasi kuwapeleka kwenye mikutano yao na wanatumia UMASIKINI NA UJINGA ILI KIENDELEE KUWATAWALA kwanini katika mkutano wengi wao ni watu wasio makini wenye uelewa mdogo njoo uongee na sisi watu makini kama kweli wewe ni MWANA CCM makini
 
speaker katiak hali ya kawaida CCM hakuna dira wala uwelekeo wowote kolimba si alshawaambia???? CCM HAKUNA DIRA
wafuasi wengi wa CCM ni wasiojua kinachoendelea na ndio maana wanawabeba na mabasi kuwapeleka kwenye mikutano yao na wanatumia UMASIKINI NA UJINGA ILI KIENDELEE KUWATAWALA kwanini katika mkutano wengi wao ni watu wasio makini wenye uelewa mdogo njoo uongee na sisi watu makini kama kweli wewe ni MWANA CCM makini
brainless angalia post zake zote ni za kama mtu ambaye ........................ anjua mwenyewe condition ya kichwa yake
 
JF ni ya Chadema. Ofisi zao ziko Ilala Dar. Box 4203. Simu 0713444649.
 
Siyo ya Chadema,ila haiendani na wajamaa ambao wanatumia viungo vingine kufikiri badala ya ubongo,wajenga hoja wanakubalika,waungwana wanakubalika,wajasiri wanakubalika,wazalendo wanakubalika...............
 
chadema ndo Mazuzu kwa kuwa na kiongozi mmoja tu anayetegemewa. CCM ni ya wengi any can lead but not Chadema.
 
Siyo kweli kuwa CCM wote ni mazuzu, akitoka mtu CCM akija CDM uzuzu utakwisha? Ni imani yangu saizi watu wamechoka CCM hivyo wanatafuta unafuu na unafuu huo umeindokea CDM baada ya kuonyesha inaweza. Mbona Mpendazoe alipoanzisha CCJ alionekana mtu asiye na uelekeo lakini alipojiunga CDM anaonekana mtu makini. Achana na huyo yupo yule mwanamashairi Shibuda mbunge wa CDM msukuma pekee mwenye tambo na mbwembwe nyingi mbunge wa Shinyanga ni zuzu japo yupo CDM? Alikiponda chama chake pale bungeni kama amepata wazimu, mbona hamsemi. Tuache ku generalize hoja very likely conclusion ikawa mbovu. Ni mtazamo tu.
 
JAMII FORUMS SIO YA CHADEMA wewe brainless naona huna hoja na upo kichama zaidi jamii forums ni mtandao wa watu wwlio elimika na wenye uwezo wa kufikiri na kupembua uchafu na uozo wa mtu flani, jambo flani , chama flani au kiongozi flani ingawa wanaCCM mnaona mnaandamwa nyie kwakuwa mmeoza katika utendaji wenu kiutendaji ni kiakili mpo chini sana.

CHADEMA haimiliki Jamii forums ila watu walio kwenye huu mtandao wanakipa hadhi kutokana na watu walioko chadema, utendaji wao wa kazi uwezo wao wa kufikiri na vilevile umakini wao katika swala la maendeleo ya nchi kwa ujumla.

Kama Jamii forum ni Ya CHADEMA wewe unatafuta nini humu ndani waache wana chadema wabaki wenyewe toa kihereher chako peleka kwa mazuzu wenzako wewe unaejiita GENIUS BRAIN hauna maana hata chembe:sleepy:

Heeeh! Hata wewe umeelimika na una uwezo wa kufikiri na kupembua mada! Tena hauko kichama zaidi?
Well i dont think so, labda kimatusi zaidi...
 
Back
Top Bottom