Kwanini CCM wanatuita SACCOS?

Kwanini CCM wanatuita SACCOS?

Kunywa Spaletta baridi hapo kwa mangi, nitalipa. Huo ndiyo ukweli mchungu ninaousema kila siku humu.

Tunataka Katiba mpya lakini si kwa kuongozwa na CHADEMA ambayo haina haiba ya kupokezana madaraka, demokrasia na Katiba inayoeleweka

Ni jambo la kheri kuwa hata wewe kumbe unataka katiba mpya.

Ni ukweli wa wazi kuwa hakuna aliye na akili asiyeona umuhimu wa katiba mpya dhidi ya iliyopo iliyoandikwa na wazee wachache wa CCM 1977.

Bahati mbaya kwako hujui kwa nini unataka katiba mpya, ambao huo ni ugonjwa usiokuwa na dawa.

Tunajipanga na tunakuja. Utake usitake Chadema itatufikisha kunako katiba tunayoitaka, katiba ya wananchi.

Hiyo ndiyo habari yenyewe.
 
Napenda nijue kwanza hao CCM kwanini wanakiita Chadema SACCOS, halafu tuangalie kama kweli hoja zao zina msingi, mimi binafsi huwa nawaona wanaimba tu mapambio yao waliyokaririshwa yasiyo na maana.

Siamini kama chama cha siasa tena zaidi CDM kikiwa na sifa ya kuwa SACCOS kitaachwa kiendelee kuwepo na msajili wa vyama waliyempa kila aina ya sheria za kuwashughulikia Chadema.
1- Mtei kumrithisha Mbowe, mkwewe uenyekiti mpaka leo.

2- Kila mbunge kulazimishwa kuchangia chama lakini hana haki ya kujua matumizi ya Ruzuku.

3- Mbowe kuendelea kujichotea pesa za Ruzuku kila siku, kwa kisingizio kuwa alikopesha chama wakati wa kampeni. Ila hilo deni halijawahi kuisha.

4- Sasa hivi wametengeneza na kuuza kadi za chama kwa mfumo wa HISA kama SACCOS.

5- Linapokuja suala la pesa Mbowe humwambii kitu, ndio maana chama hakuna msimamo wowote isipokuwa ule ulio sambamba na masilahi ya madaraja na kimapato.
 
Chadema ilijikita katika kuwasikiliza watu wachache sana,, wengi wamekuwa ni wapiga kelele tu ambao hawana makali yoyote...(saccos kwa sababu mwenyekiti ndio amekuwa chama,,kama hivi yupo cello mambo kibao yamesimama)

Viongozi pia wenye misimamo ni wachache,, wengi ni mileage tu za kisiasa,, sisiemu wakifika bei wananunulika.

Wananchi nasi bado tumekuwa waoga kabisaa,, tunasubiri tu kuwazika mashujaa,,hakuna anayetaka kuwa front..

Ukombozi utachukua miongo mingi sana kufanikiwa....

Ukombozi inataka wenye wito.

Kama unatambua nchi inahitaji ukombozi kwa kutaka kula matunda tu ila si kushiriki kuyatafuta, imeelezwa kwenye uzi:

"Heri ukakaa kimya tu."

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Katiba mpya ya nchi ndiyo hitaji la msingi zaidi:
Watanzania tu wasahaulifu sana. Tumeshasahau yaliyotokea kwenye rasimu ya Warioba? Nani ataipitisha hiyo katiba mpya? Unadhani wanao faidika na katiba ya sasa ambao ndiyo watoa maamuzi watakubali kupitisha katiba itakayo wanyang'anya keki mdomoni? Thubutuuu! La sivyo, walete rasimu ya Warioba, yenye matakwa ya watanzania kama ilivyokuwa, bila kuchakachuliwa, tuipigie kura mahali pa wazi na kura zihesabiwe papo kwa papo mbele ya wapiga kura. Kinyume chake itakuwa usanii mtu.
 
Ni jambo la kheri kuwa hata wewe kumbe unataka katiba mpya.

Ni ukweli wa wazi kuwa hakuna aliye na akili asiyeona umuhimu wa katiba mpya dhidi ya iliyopo iliyoandikwa na wazee wachache wa CCM 1977.

Bahati mbaya kwako hujui kwa nini unataka katiba mpya, ambao huo ni ugonjwa usiokuwa na dawa.

Tunajipanga na tunakuja. Utake usitake Chadema itatufikisha kunako katiba tunayoitaka, katiba ya wananchi.

Hiyo ndiyo habari yenyewe.
Wewe ni mgeni na Mimi. Umenijua ninanapomkosoa Mbowe na Lissu. Tafuta posts zangu za last 5 years uone moto wangu kuhusu demokrasia, utawala bora na Katiba NZURI
 
Chadema ilijikita katika kuwasikiliza watu wachache sana,, wengi wamekuwa ni wapiga kelele tu ambao hawana makali yoyote...(saccos kwa sababu mwenyekiti ndio amekuwa chama,,kama hivi yupo cello mambo kibao yamesimama)

Viongozi pia wenye misimamo ni wachache,, wengi ni mileage tu za kisiasa,, sisiemu wakifika bei wananunulika.

Wananchi nasi bado tumekuwa waoga kabisaa,, tunasubiri tu kuwazika mashujaa,,hakuna anayetaka kuwa front..

Ukombozi utachukua miongo mingi sana kufanikiwa....
Wananchi wanaingiaje front kuwapa ugali watu ambao nao wamejificha wanaogopa kuumia?
 
Katiba Mpya, Uongozi wa Kitasisi na Demokrasia ya kweli inapaswa kuanzia ndani ya CDM kabla ya kuhangaika na nchi.
Kwao tu hakuna demokrasia ila eti wanapambania demokrasia ya nchi.
Ila CDM wana mzaha sana.

Halafu eti ndio chama kitakachotukomboa!
Hakiwezi kutukomboa unless kimebadilika kwanza.
 
Ajabu zaidi ni kwamba hao CDM wenzako nyuzi za maana kama hizi hawanusishi pua zao,,,ila wapo kupambana kushangilia nyuzi za Job kujibizana na Rais..majibizano ambayo hayana mchango wowote kwa chama.
 
Kwao tu hakuna demokrasia ila eti wanapambania demokrasia ya nchi.
Ila CDM wana mzaha sana🤣.

Halafu eti ndio chama kitakachotukomboa!
Hakiwezi kutukoboa unless kimebadilika kwanza.
Ndio maana pamoja na ubovu wa CCM, bado CDM hawatachukua hii nchi anytime soon. CCM is worse, CDM is worst.
 
Shida CHADEMA inaongozwa zaidi na mtu binafsi badala ya taasisi.

Laiti ingekuwa ni taasisi hata in absence ya Mbowe na Lissu bado chama kingeongoza harakati ya kudai katiba mpya kwa ari ileile.

Na ndio maana Mbowe hataki kuachia Uenyekiti, maana the moment anaachia uongozi... That will mark the beginning of the end for CHADEMA.

Hurting truth.
Mbowe ameshasema ataachia uenyekiti 2023.

Naona wengi mnashindwa kutazama mazingira ya kisiasa yanayowakumba Chadema jinsi walivyowekewa vikwazo na polisi na serikali ya CCM kupitia kwa msajili.

Chadema kwa sasa ni sawa na wamefungwa kamba, wanatakiwa kujua ni namna gani wazifungue hizo kamba bravely bila kusababisha vurugu na jeshi la polisi na msajili.

Kwangu kinachoendelea sasa ni mpambano wa kifikra ndani yao watoke vipi, na sio udhaifu wa kukosa watu. Laiti mazingira ya kisiasa yangekuwa huru kwa wote halafu Chadema waonekane kulega lega, hapo ndipo ningejiunga na hii story ya Chadema ni SACCOS, but as for now, NO.
 
Mbowe ameshasema ataachia uenyekiti 2023.

Naona wengi mnashindwa kutazama mazingira ya kisiasa yanayowakumba Chadema jinsi walivyowekewa vikwazo na polisi na serikali ya CCM kupitia kwa msajili.

Chadema kwa sasa ni sawa na wamefungwa kamba, wanatakiwa kujua ni namna gani wazifungue hizo kamba bravely bila kusababisha vurugu na jeshi la polisi na msajili.

Kwangu kinachoendelea sasa ni mpambano wa kifikra ndani yao watoke vipi, na sio udhaifu wa kukosa watu. Laiti mazingira ya kisiasa yangekuwa huru kwa wote halafu Chadema waonekane kulega lega, hapo ndipo ningejiunga na hii story ya Chadema ni SACCOS, but as for now, NO.
Kwahiyo mazingira ya siasa ndiyo yaliyosababisha huko CDM kuwe na mwenyekiti mmoja miaka nenda miaka rudi?
 
Ni mali ya Mbowe ndio maana tunawaita saccos
 
Kwahiyo mazingira ya siasa ndiyo yaliyosababisha huko CDM kuwe na mwenyekiti mmoja miaka nenda miaka rudi?

Ila Mbowe atakuwa mwiba mkubwa sana CCM. Ni katika kujua hilo ndiyo sababu CDM wamependa kuendelea naye muda wote.

Kelele hizi mno hazisikiki TLP, NCCR, CUF wala kwenye vyama vingine? Kwani Mrema, Mbatia, Lipumba, au yule bwana wa ubwabwa waliwahi kubadilishwa lini?
 
Wewe ni mgeni na Mimi. Umenijua ninanapomkosoa Mbowe na Lissu. Tafuta posts zangu za last 5 years uone moto wangu kuhusu demokrasia, utawala bora na Katiba NZURI

Kama unajua umuhimu wa katiba mpya kwako na hata watoto wa wajukuu zako basi tutafute katiba mpya.

Hiyo squalor hapo haiwezi kukupa katiba mpya kwa matakwa yake yenyewe:

IMG_20211119_091739_123.jpg
 
Ajabu zaidi ni kwamba hao CDM wenzako nyuzi za maana kama hizi hawanusishi pua zao,,,ila wapo kupambana kushangilia nyuzi za Job kujibizana na Rais..majibizano ambayo hayana mchango wowote kwa chama.

Si tulishakubaliana kuwa:

1. Minyukano ndani ya CCM haitusaidii kwenye madai yetu ya katiba mpya.
2. Mwendazake hayupo tena, makando kando yake tuhangaike nayo kwenye "haki na maridhiano" baada ya katiba mpya.
3. Agenda yetu ni ya kudumu si marafiki.
 
Shida CHADEMA inaongozwa zaidi na mtu binafsi badala ya taasisi.

Laiti ingekuwa ni taasisi hata in absence ya Mbowe na Lissu bado chama kingeongoza harakati ya kudai katiba mpya kwa ari ileile.

Na ndio maana Mbowe hataki kuachia Uenyekiti, maana the moment anaachia uongozi... That will mark the beginning of the end for CHADEMA.

Hurting truth.
Kwani taasisi huwa inadondoka kutoka mbinguni. Hata ccm ilianza hivihivi na ina miaka 60 lakini bado ni ya vikudi vinavyonyukana. Bora chadema hakuna makundi kabisa
 
Ila Mbowe atakuwa mwiba mkubwa sana CCM. Ni katika kujua hilo ndiyo sababu CDM wamependa kuendelea naye muda wote.

Kelele hizi mno hazisikiki TLP, NCCR, CUF wala kwenye vyama vingine? Kwani Mrema, Mbatia, Lipumba, au yule bwana wa ubwabwa waliwahi kubadilishwa lini?
Tunaongelea Mbowe kwa sababu mada inahudu chadema.
Na hao wengine wakija na mada zao tutawaambia hivyohivyo.

Demokrasia inatakiwa ianzie nyumbani.
 
Si tulishakubaliana kuwa:

1. Minyukano ndani ya CCM haitusaidii kwenye madai yetu ya katiba mpya.
2. Mwendazake hayupo tena, makando kando yake tuhangaike nayo kwenye "haki na maridhiano" baada ya katiba mpya.
3. Agenda yetu ni ya kudumu si marafiki.
Sasa wenyewe wapo kupambana na marehemu na kushadadia ugomvi wa Maccm..na bado wanasubiri eti watachukua nchi!
 
Unachukua nchi vipi kwenye wizi usiokuwa na kifani ule?
Licha ya wizi,,,
Wazee wengi huko vijijini wana imani na CCM..chadema inapaswa ipange mikakati kuanza kuifungua jamii badala ya kupoteza muda mwingi kupambana na CCM mtandaoni.
 
Back
Top Bottom