- Thread starter
- #21
Akili zimeanza kuwajia..unyumbu unawatoka.
Tangu lini kujifunza kutokana na makosa ikawa issue?
Uanaharakati ndiyo njia pekee ya kuipata katiba ya wananchi
Tunataka katiba mpya. Tumekifahamu kilicho tuchelewesha:
Wewe kama mtanzania tembea kifua mbele sasa. Hatuko mbali tena:
1. Minyukano ndani ya CCM haitusaidii kwenye madai yetu ya katiba mpya.
2. Mwendazake hayupo tena, makando kando yake tuhangaike nayo kwenye "haki na maridhiano" baada ya katiba mpya.
3. Agenda zetu ni za kudumu si marafiki.
