Kwanini CCM wanatamani CHADEMA ife?

Kwanini CCM wanatamani CHADEMA ife?

Siyo kwamba CCM wanatamani CHADEMA ife, bali CHADEMA imeshakufa, saa hizi wametandika mikeka na tanga anaanua tarehe 29/ 10/ 2025
Mtu mjinga tu ndio anaweza kuwaza hivi uwazavyo. Chama kufa ni kupoteza ushawishi kwa umma, na sio kuzuiwa kufanya siasa ili ccm ipate ahueni. Iko hivi, cdm kwa sasa ndio chama chenye ushawishi wa kweli wa kisiasa. Jambo hili linawauma ccm na wanaccm wote kwani ni ukweli wasioupenda, wanaamini wakiiua cdn automatically ushawishi utahamia kwao, na wanajua wakiendeleo kukubali cdm iwepo ni lazima wataitoa ccm madarakani, jambo ambalo hakuna mwanaccm maslahi, ama ccm bendera fuata upepo atakubali.

Kama kuna jambo ccm hawatakaa waweze ni kuifanya cdm ikose ushawishi. Cdm itakuwa au kudhoofika kwa kuacha misimamo yake, na kuwa chama kondoo kwa ccm. Mbowe alitaka kuanza kuifanya cdm kugeuka kuwa walamba miguu wa ccm.
 
Tangu baada ya uchaguzi wa mwaka 2010 kupita, harakati za kuisambaratisha CHADEMA zimekuwa nyingi.

Ingawa sasa harakati hizo zimechukua mkondo mwingine na kuwa za kiwango cha juu, lakini ni jambo ambalo limeshazoeleka na kuwa sehemu ya siasa zetu Tanzania.

Nakumbuka wakati fulani Mzee Steven Wassira wakati huo akigombea ujumbe wa Halmashauri kuu ya CCM, alisema achaguliwe kwa kuwa anao uwezo wa kuiua CHADEMA.

Kwani CCM itafaidika nini kama CHADEMA itakufa na uwepo wa CHADEMA unaleta kikwazo gani kwa CCM?
Kwani hao walioenda chaumma wametoka CCM? Chadema nyie wenyewe ndo mnatamani ife.
 
Mlifanya makosa makubwa kumpa Tundu UWENYEKITI wa CHADEMA na Heche maana wale wote 2 ni vichwa maji. Hakuna mwenye utulivu wa akili ambaye angeweza kumshauri vinginevyo mwenzie. Nawaona kama majuha. Walishindwa kuusoma mchezo wa Samia.

Lissu anaropoka kuanzisha uasi mwezi April 2025 na baada ya mwezi 1 anakamatwa na kuwekwa ndani.

Mwezi mmoja baadaye Msajili wa vyama anaitisha kikao cha kusaini kanuni za maadili, naye Heche anagoma KUSAINI. Tundu kachonga jeneza la CHADEMA na Heche kapigilia misumari.

Wenzenu wanakwenda kwenye uchaguzi nyinyi CHADEMA mnakwenda Mahakamani. Wenzenu wanafanya fundraising nyinyi akina Allen Kilewella mnakesha kuandika nyuzi za kuponda.
Makosa yetu yanakuhusu nini wewe? hii huruma unaitoa wapi kama sio UNAFIKI? Tundu will be free na hamtaamini, Nyie ni mashetani
 
Kwani hao walioenda chaumma wametoka CCM? Chadema nyie wenyewe ndo mnatamani ife.
Hii ndiyo inayoitwa propaganda nyepesi. Si umemsikia Yericko Msambika anavyosema kuwa Lissu akitoka wao watarudi CHADEMA?

Sasa atarudi vipi kwenye chama kisichokuwepo? Kwa ivo hata wao hawataki CHADEMA ife.
 
Mbowe si mlisema ni Gaidi ujinga kama huu ulioandika hapa tumeuzoea
Kuna mahali kwenye hili bandiko nimemtaja Mbowe? Au una ugiligili unatokana na kuishi kwenye propaganda mfu?

Kwani enzi Mbowe akiwa Mwenyekiti si nyie ndiyo mlikuwa mnasema CHADEMA ni chama cha wachaga na Mbowe ni sultan CHADEMA?
 
Tangu baada ya uchaguzi wa mwaka 2010 kupita, harakati za kuisambaratisha CHADEMA zimekuwa nyingi.

Ingawa sasa harakati hizo zimechukua mkondo mwingine na kuwa za kiwango cha juu, lakini ni jambo ambalo limeshazoeleka na kuwa sehemu ya siasa zetu Tanzania.

Nakumbuka wakati fulani Mzee Steven Wassira wakati huo akigombea ujumbe wa Halmashauri kuu ya CCM, alisema achaguliwe kwa kuwa anao uwezo wa kuiua CHADEMA.

Kwani CCM itafaidika nini kama CHADEMA itakufa na uwepo wa CHADEMA unaleta kikwazo gani kwa CCM?
Hayo ni maneno tu ya kusiasa. Hata chadema wanaombea ccm ife.
 
Wanaccm hawana shida, wenye shida ni wahuni walio nyuma ya ccm
Mbona hao wana CCM hawaonekani kupambana na hao wahuni?

Kama kuna wahuni nyuma ya CCM basi hao wahuni ndiyo wenye kauli ya mwisho kwa CCM ya sasa.
 
Tangu baada ya uchaguzi wa mwaka 2010 kupita, harakati za kuisambaratisha CHADEMA zimekuwa nyingi.

Ingawa sasa harakati hizo zimechukua mkondo mwingine na kuwa za kiwango cha juu, lakini ni jambo ambalo limeshazoeleka na kuwa sehemu ya siasa zetu Tanzania.

Nakumbuka wakati fulani Mzee Steven Wassira wakati huo akigombea ujumbe wa Halmashauri kuu ya CCM, alisema achaguliwe kwa kuwa anao uwezo wa kuiua CHADEMA.

Kwani CCM itafaidika nini kama CHADEMA itakufa na uwepo wa CHADEMA unaleta kikwazo gani kwa CCM?
1755259133366.jpeg
 
Tangu baada ya uchaguzi wa mwaka 2010 kupita, harakati za kuisambaratisha CHADEMA zimekuwa nyingi.

Ingawa sasa harakati hizo zimechukua mkondo mwingine na kuwa za kiwango cha juu, lakini ni jambo ambalo limeshazoeleka na kuwa sehemu ya siasa zetu Tanzania.

Nakumbuka wakati fulani Mzee Steven Wassira wakati huo akigombea ujumbe wa Halmashauri kuu ya CCM, alisema achaguliwe kwa kuwa anao uwezo wa kuiua CHADEMA.

Kwani CCM itafaidika nini kama CHADEMA itakufa na uwepo wa CHADEMA unaleta kikwazo gani kwa CCM?
Gentleman,
Chadema iliposambaratika na kufa kibudu chini ya viongozi wapya vibaka na matapeli wa kisiasa, taifa letu likaanza kupata amani ya uhakika, mathalani matukio ya utekaji yakakoma kabisa, fujo, vurugu na matusi kwenye mikutano ya kisiasa yakakoma, maandamano ya ghasia na uharibifu yakakoma n.k.

demokrasia ikaanza kuiimarika na sasa inashamiri na kusitawi vizur, huku siasa za kistaarabu na hoja zikitamalaki kuelekea Uchaguzi mkuu wa October 29, October 2025.

So,
ni furaha iliyoje kwa waTanzania kwa chadema genge la kihalifu kusambaratika na kufa kibudu ndani ya muda mfupi 🐒
 
Mbona unaandika kama vile CHADEMA Iko hai wakati wewe ulisema ilishakufa? Au unaandika huku unaendesha baiskeli ya mitano tena?
Hawa watu ni wa kuhurumia. Magufuli alisema anaua upinzani lakini akafa yeye na kuwaacha. Sijui ni kwa nini hawaoni jambo dhahiri: ukitaka kuua upinzani basi fanya vizuri unapoongoza.
 
chorus tu ilaa CHADEMA kwishney. Kuna chama kiliitwa NCCR na CUF na nyinyi manelekea hukohuko
CCM imejaa wajinga kama wewe. Nasema hivi kwa sababu njia rahisi kabisa ya kuua upinzani ipo lakini hamtaki kuifuata. i.e. Serikali iwajibike na kuwapatia wananchi uongozi bora na nchi ipate maendeleo. Vinginevyo, ujinga wa kutaka kuua upinzani kwa sheria na ukandamizaji hazifanyi kazi. Utakufa wewe lakini wao wataendelea kuwepo.
 
Tangu baada ya uchaguzi wa mwaka 2010 kupita, harakati za kuisambaratisha CHADEMA zimekuwa nyingi.

Ingawa sasa harakati hizo zimechukua mkondo mwingine na kuwa za kiwango cha juu, lakini ni jambo ambalo limeshazoeleka na kuwa sehemu ya siasa zetu Tanzania.

Nakumbuka wakati fulani Mzee Steven Wassira wakati huo akigombea ujumbe wa Halmashauri kuu ya CCM, alisema achaguliwe kwa kuwa anao uwezo wa kuiua CHADEMA.

Kwani CCM itafaidika nini kama CHADEMA itakufa na uwepo wa CHADEMA unaleta kikwazo gani kwa CCM?
We nyumbu hayo ni mawazo yako na hofu
 
Back
Top Bottom