Naona na sikia hao watu au hiyo meli ni ya ccm?
only time will tel..tulia kdogo...hv mbona hawakuisajili kenya au china..kwanini waisajili TZ...then waitumie kubebea mihadarati? hivi utasajili meli bila kujua inatumikaje...? jipe muda...tafakari..
Naona na sikia hao watu au hiyo meli ni ya ccm?
Mkuu M-KV, ujue hata wale vibaka au mwizi wa kuku, angekuwa na kadi ya CCM, wasinge chomwa au kuuwawa!, wale wanajulika ni wanachama wa CCM hivyo lazima iwalinde!. Ulinzi mkubwa zaidi ni ule uliotangazwa wazi na M/Kiti wa CCM, kuisamehe ile "mijizi ya EPA" kwa kuiambia "I rudishe ilichokwiba, au kukwapua!"
Pasco.
PASCO account yako imekuwa HACKED!!!!!!! Kuna mtu anaposti kwa account ya Pasco!!!!!! lol
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Nchi hii haitaongozwa na wahuni Chadema never hilo msahau. Njooni na kila aina ya uzushi na hampati kitu.
Mkuu Sir Joshua, huitendei haki kuwaita CCM ni mapanya kwa sababu tuu ya wizi wao wa mali ya umma!. Hata wale mapanya wa nyumbani au ghalani wanaiba chakula au kula mazao, wao wanaamini hiyo ni himaya yao, na kule kula kwao sii kuiba, ni halali yao!. CCM hii ni himaya yao, hivyo chochote wafanyacho, ni halali yao!, wewe ndio unadhani wanaiba!.
"You can't steal from your self" ni unahamisha tuu, au unachukua..unaweka..waa!.
Pasco.
Si kweli kuwa CCM inalinda wauza "sembe" na mafisadi!, CCM inachofanya ni kulinda "wanachama wake!".
Lete ushahidi unao unyesha kama ccm wanawalinda hao mafisadi na wauza unga unajua nyinyi vijana mnapoteza muda wenu mwingi kulipa elfu moja kukaa kwenye internet kuhatarisha maendeleo yenu muda wakwenda shule nyinyi kazi yenu kupost utumbo tu kwenye JF
Pasco umeanza kuwa mzalendo? Nimependa coments ilozopost kwenye uzi huu
Vero, sorry ulidhani unamfahamu Pasco wa jf, ila kiukweli humfahamu!. Pasco wa jf, hana chama, ila ni suppoter wa EL kwa CCM, supporter wa ZZK kwa Chadema na Jussa kwa CUF!.PASCO account yako imekuwa HACKED!!!!!!! Kuna mtu anaposti kwa account ya Pasco!!!!!! lol..Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Si kweli kuwa CCM inalinda wauza "sembe" na mafisadi!, CCM inachofanya ni kulinda "wanachama wake!".
Vero, sorry ulidhani unamfahamu Pasco wa jf, ila kiukweli humfahamu!. Pasco wa jf, hana chama, ila ni suppoter wa EL kwa CCM, supporter wa ZZK kwa Chadema na Jussa kwa CUF!.
Pasco.
we acha ujinga huo wewe unaweza kukata mkono wa mwanao kwa sababu kajinyea unamwosha anakuwa safi ila kaharufu katabaki kidogo unapotezea siwezi funga mwana ccm mwenzangu wakati alinichangia hera nyingi kwenye kampeni na bado namhitaji hasa fedha zake 2015
Mkuu Steve, unapokuwa mkweli, huhitaji watu wakuelewe, unachotakiwa kufanya na kuusema tuu ukweli jinsi ulivyo, wakuelewa, wataelewa!, wasio elewa waache hivyo hivyo watakavyoelewa hata kama sivyo, mwisho wa siku ni "ukweli ndio utakao simama!".Mkuu Pasco hapa hawatakuelewa kabisa aisee, but umeeleweka kaka. Salute Boss.
cc Ritz chama ZeMarcopolo na swahiba Mamdenyi
Vero, sorry ulidhani unamfahamu Pasco wa jf, ila kiukweli humfahamu!. Pasco wa jf, hana chama, ila ni suppoter wa EL kwa CCM, supporter wa ZZK kwa Chadema na Jussa kwa CUF!.
Pasco.
Mkuu Pasco hapa hawatakuelewa kabisa aisee, but umeeleweka kaka. Salute Boss.
cc Ritz chama ZeMarcopolo na swahiba Mamdenyi
Tatizo lako humuelewi Pasco; yeye tayari ameshajigeuza kuwa mpiga debe wa EL kwa hiyo atasema lolote anafahamu fika nafasi ya mgombea wake ina utata hebu jiulize ikiwa "CCM inachofanya ni kulinda wanachma wake" huyu anayempigia debe ni mwanachama wa chama gani? Huoni kama Pasco ni mtu anayejitega mwenyewe?
Mkuu Steve, unapokuwa mkweli, huhitaji watu wakuelewe, unachotakiwa kufanya na kuusema tuu ukweli jinsi ulivyo, wakuelewa, wataelewa!, wasio elewa waache hivyo hivyo watakavyoelewa hata kama sivyo, mwisho wa siku ni "ukweli ndio utakao simama!".
Pasco.