pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 19,030
- 15,232
Ninayo masikitiko makubwa kwa namna nchi inavyokwenda hasa CCM kuwalinda kwa NGUVU zote wauza unga na mafisadi.
Waliapa kuwashughulikia Mafisadi hasa walifocha fedha nje lakini majuzi nimesikia mkuu mmoja akisema hawana fedha za kwenda Uswiswi kufuatilia fedha zilizofichwa huko! Alipotakiwa kueleza kama wamewasiliana na Ubalozi wao hapa nchini alikuwa 'mbogo' kweli kweli.
Hivyo hivyo kwa madawa ya kulevya nayo pia hawataki kuchukua hatua hasa ikizingatiwa kuwa yanamaliza vijana wetu.😕
Waliapa kuwashughulikia Mafisadi hasa walifocha fedha nje lakini majuzi nimesikia mkuu mmoja akisema hawana fedha za kwenda Uswiswi kufuatilia fedha zilizofichwa huko! Alipotakiwa kueleza kama wamewasiliana na Ubalozi wao hapa nchini alikuwa 'mbogo' kweli kweli.
Hivyo hivyo kwa madawa ya kulevya nayo pia hawataki kuchukua hatua hasa ikizingatiwa kuwa yanamaliza vijana wetu.😕