TASLIMA
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,015
- 3,574
Mpenzi kumbe unajua kujenga na kutetea hoja, ukiwa nje ya MMU!!Hii haiwezi ikatokea kwa nchi zenye uchumi wa kati kama Urus,China au Iran,nchi ya kimasikini kama hii ambayo hatuna cha kujivunia,ukiwekewa kikwazo kimoja tu dola moja inakuwa laki moja ya Tanzania,kwa nini mkate usinunuliwe kwa milioni moja