Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,791
Hii pia inatoa mwanga wa pale Mungu anapokasirika na kutoa laana kwa kosa lililotendwa na kizazi cha kwanza.. Laana hiyo huenda mpaka kizazi cha tatu na cha nne! Let's try to connect the dotsYes aliyefanya kosa ni HAM ila laana ikaenda kwa CANAAN ndio nmetoa sababu kadhaa kwanni ikawa hivo soma nadharia #1 utapata mwanga