Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 898
Tazama hapa kisha utaona. Ripoti zilizowekwa ni za zamani na ni chache sana ukilinganisha na ugaguzi alioufanya
National Audit Office of United Republic of Tanzania
Je CAG anafanya kazi ya ukaguzi kwa manufaa ya nani na anpozificha hizi ripoti anajaribu kumlinda nani?