Kwanini busara isitumike kuweka sawa hali hii?

Kwanini busara isitumike kuweka sawa hali hii?

ThisisDenis

Senior Member
Joined
Apr 14, 2013
Posts
178
Reaction score
154
1. Tunachangamoto ya kibiashara baina yetu na malawi, inashindikana vipi kuweka hali hiyo sawa ? Sio busara kabisa kukomoana ili hali wanaoumia ni wenye mazao na maskini.

2. Kesi za mahakamani zinazoendelea kama mahakama ni chombo huru kwa nini kinaingiliwa na vyombo vingine ?

3. Bunge sasa halina meno tena hii inasababoshwa na nini ?

4. Wazee wangu na washauri wa raisi juu ya uchumi wa nchi yetu. Zungumzeni kitu tunaoumia ni mimi na wewe ambao bado tunategemea huruma ya serikali kwenye Ajira, Afya, Elimu na Miundombinu.
 
1. Tunachangamoto ya kibiashara baina yetu na malawi, inashindikana vipi kueeka hali hiyo sawa ? Sio busara kabisa kukomoana ili hali wanaoumia ni wenye mazao na maskini.

2. Kesi za mahakamani zinazoendelea kama mahakama ni chombo huru kwa nini kinaingiliwa na vyombo vingine ?

3. Bunge sasa halina meno tena hii inasababoshwa na nini ?

4. Wazee wangu na washauri wa rahisi juu ya uchumi wa nchi yetu. Zungumzeni kitu tunaoumia ni mimi na wewe ambao bado tunategemea huruma ya serikali kwenye ajira, Afya, Elimu na Miundombinu.
😀😀😀😀achana nayo hayatuhusu. Wenye Nchi watadeal nayo
 
1. Tunachangamoto ya kibiashara baina yetu na malawi, inashindikana vipi kuweka hali hiyo sawa ? Sio busara kabisa kukomoana ili hali wanaoumia ni wenye mazao na maskini.

2. Kesi za mahakamani zinazoendelea kama mahakama ni chombo huru kwa nini kinaingiliwa na vyombo vingine ?

3. Bunge sasa halina meno tena hii inasababoshwa na nini ?

4. Wazee wangu na washauri wa raisi juu ya uchumi wa nchi yetu. Zungumzeni kitu tunaoumia ni mimi na wewe ambao bado tunategemea huruma ya serikali kwenye aAjira, Afya, Elimu na Miundombinu.
Sisi al shababu hatuna huo msamiati wa busara sijui hekima wala haki. Lugha yetu ni moja tu: yaani kaboooom, kila kitu kinatawanyika
 
Hapana, hizo hua ni hasira na malipizi kitu ambacho sio kizuri
 
Back
Top Bottom