Kwanini Bunge lisimwajibishe Raisi Kikwete?

Kwanini Bunge lisimwajibishe Raisi Kikwete?

Matatizo yamekuwa mengi mno katika awamu hii ya nne.

Hili pekee linaonyesha kuwa kuna tatizo katika uongozi wa juu kabisa na hivyo taasisi ya urais ilipaswa kuwajibika.
Si bahati mbaya mambo kwenda mrama hivi katika awamu hii,ni lazima viongozi wa awamu hii,yeye akiwa top wao wana kasoro kubwa kiuongozi.

Nakubaliana na wana jf wenzangu wengi,kuwa tangu 2005,NCHI IKO KWENYE AUTO PILOT.

Nadhani umefika wakati sasa inabidi watz tuelekeze mashambulizi makali ndani ya vyama vyetu vyote vya siasa,kuhakikisha havitekwi nyara na watu wasiofaa,inabidi tufanye kitu,tumevisahau sana vyama,nchi iko kwenye auto pilot kwa sababu tumeviacha vyama kwenye auto pilot,lazima kuwe na taratibu zitakazovibana vyama vya siasa kutotumika kuhujumu uongozi wa nchi.

Lazima tulitafakari hili because what i see ni kwamba someday somewhere kuna kakikundi ka watu fulani walijipanga waiteke CCM na kuitumia kwa maslahi yao bila kujulikana.

Haiwezekani mambo yawe ovyo hivi kwa bahati mbaya,hii ni mipango,watu wametazama weaknesses zetu kwenye mifumo ya utawala,wakazitumia.

Kwa hiyo ni ama tuumize kichwa kuhakikisha vyama havitumiki kama tiketi ya watu wabaya kushika madaraka ya nchi,au tuweke mfumo kudhibiti influence ya vyama kuendesha serikali kwa maana ya wale members wake wakishinda na kuunda serikali,kuwe na mfumo utakaowawajibisha zaidi kwa serikali bila vyama vyao kuwatetea.

Kwa ujumla tutazame ombwe hili la uongozi kama failure ya political parties kutuzalishia viongozi wanaostahili,leo ni CCM,kesho inaweza kuwa mwingine.
 
hivi kuna mbunge ambaye ni msafi wa kuweza kumwajibisha Rais? Bahati mbaya suala hili la Escrow linashikiwa bango na Jizi Fisadi Lowasa

kama unaamini hakuna mbunge aliye msafi, je matokeo ya mijadala yanayotokana na hao wabunge wasio safi yana manufaa na tija kwa taifa? kama hakuna tija wala manufaa, wewe kama mwananchi mzalendo unachukuliaje suala la wabunge kutumia fedha za umma bila kuleta tija na manufaa kwa taifa? Kuhusu ndugu lowassa kushikia bango suala la escrow wewe una ushahidi gani kuthibitisha ulichokisema? Leo hii wakati wabunge wanamshauri naibu spika kutaka suala la escrow lijadiliwe bungeni licha ya kuwa mahakama imezuia sikumuona ndugu lowassa akisimama na kuzungumzia suala hilo, sasa kushika bango kumetoka wapi!!? na hata angesimama na kupendekeza kama wabunge wengine kuwa suala la escrow lijadiliwe, kwanini hoja yake iitwe ni kushika bango huku hoja kama hizo hizo za wabunge wengine zionekane ni za kawaida?!!
 
Bado mada yako haina mashiko ki vipi rais kikwete anahusika kwa hili.wezi wachache wamekwapua unatakiwa utueleze ni kivipi rais alishiriki ama alibariki huu wizi.
Kwahyo kajipange tena
 
Matatizo yamekuwa mengi mno katika awamu hii ya nne.

Hili pekee linaonyesha kuwa kuna tatizo katika uongozi wa juu kabisa na hivyo taasisi ya urais ilipaswa kuwajibika.
Si bahati mbaya mambo kwenda mrama hivi katika awamu hii,ni lazima viongozi wa awamu hii,yeye akiwa top wao wana kasoro kubwa kiuongozi.

Nakubaliana na wana jf wenzangu wengi,kuwa tangu 2005,NCHI IKO KWENYE AUTO PILOT.

Nadhani umefika wakati sasa inabidi watz tuelekeze mashambulizi makali ndani ya vyama vyetu vyote vya siasa,kuhakikisha havitekwi nyara na watu wasiofaa,inabidi tufanye kitu,tumevisahau sana vyama,nchi iko kwenye auto pilot kwa sababu tumeviacha vyama kwenye auto pilot,lazima kuwe na taratibu zitakazovibana vyama vya siasa kutotumika kuhujumu uongozi wa nchi.

Lazima tulitafakari hili because what i see ni kwamba someday somewhere kuna kakikundi ka watu fulani walijipanga waiteke CCM na kuitumia kwa maslahi yao bila kujulikana.

Haiwezekani mambo yawe ovyo hivi kwa bahati mbaya,hii ni mipango,watu wametazama weaknesses zetu kwenye mifumo ya utawala,wakazitumia.

Kwa hiyo ni ama tuumize kichwa kuhakikisha vyama havitumiki kama tiketi ya watu wabaya kushika madaraka ya nchi,au tuweke mfumo kudhibiti influence ya vyama kuendesha serikali kwa maana ya wale members wake wakishinda na kuunda serikali,kuwe na mfumo utakaowawajibisha zaidi kwa serikali bila vyama vyao kuwatetea.

Kwa ujumla tutazame ombwe hili la uongozi kama failure ya political parties kutuzalishia viongozi wanaostahili,leo ni CCM,kesho inaweza kuwa mwingine.

katiba pendekezwa umeisoma au umetoka ucngizini.
 
hivi kuna mbunge ambaye ni msafi wa kuweza kumwajibisha Rais? Bahati mbaya suala hili la Escrow linashikiwa bango na Jizi Fisadi Lowasa

Lowasa has bn a great threat among urselves. Kila kashfa mna I associate na Lowasa.Then it means CCM ni chama tawala cha Hovyo kuliko vyote duniani kwani kinateswa na mwanachama wake mmoja tu. Wangekuwepo kina Lowasa watatu tu nadhani hata mzee wa kaya kuumwa tezi dume kungehusishwa na Lowasas.
Mchinjieni baharini km mna ubavu!
 
Tatizo la baba mwenye nyumba ni safari za kwa watu kila siku. Hiyo pekee inatosha kuwapa waliobaki nyumbani kuwa na utawala wa panya. Huyu kaiba sukari kakoroga kwenye maji kanywa,huyu kapita bandani mwa kuku kajichukulia mayai,mwingine kajiona ye ndo mkubwa aliyebaki kaamua kuleta kabinti ka jirani na kulala nako nyumbani kwa baba yake. Waliokuwa wanatuambia Safari za mkuu zina tija walikuwa na malengo yao! Na bahati mbaya, mkulu akija yeye anataka aambiwe tu basi,kutafiti ukweli wa alichoambiwa haimuhusu. Ni tatizo kwa kweli, mabadiliko ya kweli yanahitajika!
 
Benki ya Mungu ndo ipi.. Mkomboz syo bank ya Mungu

we mburula BOT ni bank ya mungu toka lini??
nyie wanafiki mkombozi benki ipo chini ya kanisa katoliki a.k.a benki ya mungu. sioni mnachotetea hapa. kwa kifupi dini nyingine zipo nyuma ya karibia ya kila wizi unofanyika hapa duniani. kwa huku afrika ulianza na wamishionary miaka ya 1880's
 
acha utaahira wewe. radar, magari ya jeshi, ndege ya rais, epa, kuuzwa kwa nbc, tanesco, wizi BIO, mwananchi gold, kuuzwa kwa nyumba za serikali, kiwira, anaben benki, mikataba mibovu ya madini, alex and stewart na upuuzi mwengine mwingi ulifanyika kipindi cha kikwete? kwa nini hamsimamii ukweli? again acha utaahira wewe bwe'ge.

Kwa jinsi hali ya Ufisadi ilivyoshamiri tangu Raisi Kikwete aingie madarakani hastahili tena kuliongoza taifa hili. Kujiuzuru na kufukuzwa kwa watendaji peke yake haitoshi. Kama Bunge halina uwezo wa kujadili masuala yaliyopo mahakamani kwa nini wasitumie nguvu yao kisheria ya bunge kupiga kura ya no confidence kwa Raisi. Raisi anaonekana ameshindwa kuongoza nchi na ile kauli yake aliyosema kuwa amechoka italigharimu sana taifa kama tukisema tusubirie mpaka muda wake uishe.
 
Naona kuna kila sababu ya kupga kura ya kutokuwa na imani na Rais wahenga wanasema " kufanya Kosa sio Kosa ila kurudia Kosa ndio kufanya Kosa" Rais amevunja serkal yake Mara ngap kwa makosa hayahaya ya pesa za walipa Kodi kuliwa kizembe na nafasi zlezle za uongoz na anatulia tu. Ila mim nafkir hii yte inatokana na Rais kupanda sanaaaa Ndege na kuacha nyumba haina mtu wa kuongoza msingi ya nchi hta katka hali ya kawaida ngazi ya familia Baba akisafir nyumbani kuna kuwa na Uhuru mpana zaidi. Kwa hyo wezi wapo na Uhuru mwng kwa kuwa mwnye nyumba huwa anasafiri sanaaaaa.
 
Kesi ya nyani kula mahindi unampelekea ngedere,hapo unategemea nini?
 
Rais mwenyewe yupo hoi kitandani. It's funny how times have changed in Africa. Yaani Raisi yupo mamtoni anapata matibabu huku akichat na wananchi, wakati nchini kuna kila aina ya machafuko katika serikali yake. Ingekuwa miaka ya 70s au 80s unasikia wazee wa kazi wamechukua nchi tayari.
 
Kauli moja tu ya Rais inatosha kuvunja Bunge kabla ya akidi ya Bunge haijatimia kumwajibisha Rais.

Yaani Rais kuwajibishwa na Bunge labda apende yeye, ila Bunge halina chochote mbele ya Rais.
 
EPA, RICHMOND, MEREMETA, CHENJI YA RADA, NDEGE YA RAIS, UUZWAJI NBC, etc. Etc. Na sasa ESCROW! Hawa jamaa ni sugu! CCM inanuka! Harufu ya UOZO, Uozo Usiosafishika!
 
hivi kuna mbunge ambaye ni msafi wa kuweza kumwajibisha Rais? Bahati mbaya suala hili la Escrow linashikiwa bango na Jizi Fisadi Lowasa
Lizabon, haijalishi ni nani kashikia bango, as long as suala lenyewe ni kweli basi wananchi tulishughulikie hata kama mwenye kushikia bango yupo basi naye tumshughulikie baadae
 
Lizabon, haijalishi ni nani kashikia bango, as long as suala lenyewe ni kweli basi wananchi tulishughulikie hata kama mwenye kushikia bango yupo basi naye tumshughulikie baadae
Hakustahili hata kujibiwa hayawani huyo!!!!!
 
Back
Top Bottom