Mbona mnakosa adabu jamani,mzee si anaumwa????Hata mi najiuliza why tunaendelea kuwa na rais incompetent
Mbona mnakosa adabu jamani,mzee si anaumwa????Hata mi najiuliza why tunaendelea kuwa na rais incompetent
Usijitoe ufahamu Mkombozi Benki ni ya Kanisa ndipo walipokuwa wanagania pesa za Watanzania, unajua kama Askofu Kilaini alipata mgao wa milioni 80.we mburula BOT ni bank ya mungu toka lini??
Hata mi najiuliza why tunaendelea kuwa na rais incompetent
Usijitoe ufahamu Mkombozi Benki ni ya Kanisa ndipo walipokuwa wanagania pesa za Watanzania, unajua kama Askofu Kilaini alipata mgao wa milioni 80.