Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,156
- 55,652
Tuishi kwa amani,upendo na mshikamano tunapokuwepo hapa duniani;kifo ni hitimisho ya uwepo wako katika hii Dunia...tusidanganyike kwa kuamini ya kuwa tutazaliwa kwingine au tutaenda sehemu inayoitwa peponi...hiyo yote ni katika hali ya kujifariji ili kupunguza makali ya kifo.