Ananukia vizuri sana.hujawahi kujua harufu yake??
Ukishasema harufu tayali ni hewa ya kitu kilichooza na hakiwezi kutoa hewa nzuri.
Na ukishasema "ananukia vizuri" huwezi kusema tena anatoa harufu.
Kuhakikisha kama kweli uliyeua ni kunguni Maana hawa wadudu nao wako vizuri kwa kujifichaWakuu,
Hulka hii ya kumnusa kunguni, pindi mtu anapomwua nimeona kwa jamii nyingi tu za watu si wazungu, weusi, wa Asia wote wanayo, so naomba munisaidie kujua sababu yake.Pili kunguni wanasababishwa na nini, kuwepo baadhi ya majumba ya watu?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Maji ya moto nyuzi joto 100 kiboko yao.Kunguni mdudu asiyekufa kirahisi
harufu ni kitu kilichooza??Ukishasema harufu tayali ni hewa ya kitu kilichooza na hakiwezi kutoa hewa nzuri.
Na ukishasema "ananukia vizuri" huwezi kusema tena anatoa harufu.