Kwanini binaadamu lazima alale?

Kwani unalazimishwa kulala, wewe dunda kazi tu, ila hata MUNGU alifanya kazi, '............... ikawa mchana ikawa usiku..................' sasa wewe toa usiku, then kula mzigo.
 
Binadamu ni kama mashine yenye umeme,hivyo vitu vinavyofanywa na mwili ni masiliano ya chemikali,vitu kama waya(neurotransmitters)misuli na mifupa.ili mtu aweze kufiri vizuri lazima apate kulala usingizi wa kutosha.kulala kunasaidia kuongeza uwezo wa kufikiria,kufanya maamuzi,kufanya utekelezaji.haya yote yanafanyika kwa kupumzisha ubongo. Kila umri unahitaji masaa kadhaa ya mapumziko ,:-watoto masaa 16,vijana masaa9 na watu wazima masaa 7 mpaka 8. Kulala kunasaidia mwili na akili katika kufanya kazi yake.mfano panya wanaishi kwa miaka 2-3 ila wakikaa bila usingizi basi na misha yafupika kuwa wiki tano.pia hupnguza kinga za mwili,usingizi huongeza homoni za kukua kwa watoto.kulala kunaongeza mwili kuzalisha seli(cell),usingizi unasaidia kupunguza msongo wa mawazo na uchovu.
 
Binadamu ni kama mashine yenye umeme,hivyo vitu vinavyofanywa na mwili ni masiliano ya chemikali,vitu kama waya(neurotransmitters)misuli na mifupa.ili mtu aweze kufiri vizuri lazima apate kulala usingizi wa kutosha.kulala kunasaidia kuongeza uwezo wa kufikiria,kufanya maamuzi,kufanya utekelezaji.haya yote yanafanyika kwa kupumzisha ubongo. Kila umri unahitaji masaa kadhaa ya mapumziko ,:-watoto masaa 16,vijana masaa9 na watu wazima masaa 7 mpaka 8. Kulala kunasaidia mwili na akili katika kufanya kazi yake.mfano panya wanaishi kwa miaka 2-3 ila wakikaa bila usingizi basi na misha yafupika kuwa wiki tano.pia hupnguza kinga za mwili,usingizi huongeza homoni za kukua kwa watoto.kulala kunaongeza mwili kuzalisha seli(cell),usingizi unasaidia kupunguza msongo wa mawazo na uchovu.

tunashukuru kwa kutuelimisha kuhusu umuhimu wa kulala. Asante.
 
Binadamu ni kama mashine yenye umeme,hivyo vitu vinavyofanywa na mwili ni masiliano ya chemikali,vitu kama waya(neurotransmitters)misuli na mifupa.ili mtu aweze kufiri vizuri lazima apate kulala usingizi wa kutosha.kulala kunasaidia kuongeza uwezo wa kufikiria,kufanya maamuzi,kufanya utekelezaji.haya yote yanafanyika kwa kupumzisha ubongo. Kila umri unahitaji masaa kadhaa ya mapumziko ,:-watoto masaa 16,vijana masaa9 na watu wazima masaa 7 mpaka 8. Kulala kunasaidia mwili na akili katika kufanya kazi yake.mfano panya wanaishi kwa miaka 2-3 ila wakikaa bila usingizi basi na misha yafupika kuwa wiki tano.pia hupnguza kinga za mwili,usingizi huongeza homoni za kukua kwa watoto.kulala kunaongeza mwili kuzalisha seli(cell),usingizi unasaidia kupunguza msongo wa mawazo na uchovu.

Jibu tosha na wala sina la zaidi
 
Back
Top Bottom