Sokoro waito
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 2,201
- 2,587
Hamjambo wadau na watafutaji wa pesa,
Mimi binafsi nilifungua biashara yangu ya kwanza nilipokuwa mwanafunzi wa sekondari ambayo ilikuwa ya duka dogo la rejareja ila biashara hii ilikufa kwasababu ya kukosa ulinzi wakati wa usiku, wezi waliniibia mara kadhaa hadi kupelekea kudhoofisha mtaji wangu na hatimaye nikafunga biashara. Baada ya hapo nilijifunza kuwa biashara yoyote ile lazima iwekewe ulinzi thabiti.
Vipi kwa upande wako wewe, kwanini biashara yako ya kwanza ilikufa?
Huenda biashara yako ya kwanza haikufa ila ila ilikumbana na changamoto kedekede, basi share nasi kuhusu hizo changamoto.
Sema ili nasi tujifunze.
Mimi binafsi nilifungua biashara yangu ya kwanza nilipokuwa mwanafunzi wa sekondari ambayo ilikuwa ya duka dogo la rejareja ila biashara hii ilikufa kwasababu ya kukosa ulinzi wakati wa usiku, wezi waliniibia mara kadhaa hadi kupelekea kudhoofisha mtaji wangu na hatimaye nikafunga biashara. Baada ya hapo nilijifunza kuwa biashara yoyote ile lazima iwekewe ulinzi thabiti.
Vipi kwa upande wako wewe, kwanini biashara yako ya kwanza ilikufa?
Huenda biashara yako ya kwanza haikufa ila ila ilikumbana na changamoto kedekede, basi share nasi kuhusu hizo changamoto.
Sema ili nasi tujifunze.