Kwanini benki zetu zina riba kubwa?

kamikaze

JF-Expert Member
Jan 25, 2011
422
610
Wajuzi wa mambo, hasa wachumi naomba kuuliza kwanini benki zetu zinatoza riba kubwa(19%-22%), Kwa wateja wanaochukua mikopo,Je kuna sababu zozote za kiuchumi zinazopelekea riba kuwa kubwa kiasi hicho au ni utashi wa benki kujipangia kiasi cha riba kwenye mikopo?
 
Wanalinda time value of money. Leanna muda wa wewe kukaa na pesa zao zitakuwa zimepoteza Kwa kiasi fulani nguvu ya kununua (purchasing power) ukilinganisha nguvu hiyo na Siku waliyokuwa wakikukopesha. Nakisi hiyo ya nguvu ya kununua ndiyo inayoamua riba (interest) iwe kiasi gani.
 
Wajuzi wa mambo, hasa wachumi naomba kuuliza kwanini benki zetu zinatoza riba kubwa(19%-22%), Kwa wateja wanaochukua mikopo,Je kuna sababu zozote za kiuchumi zinazopelekea riba kuwa kubwa kiasi hicho au ni utashi wa benki kujipangia kiasi cha riba kwenye mikopo?
Nilijuta kuchukua mkopo Bank. Kama una alternative acha kabisa!!!!
 
Back
Top Bottom