mkadiriajimajenzi
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 549
- 608
Hivi majuzi nilipata wasaa wa kutembelea visiwa vya zanzibar nilistaajabu kuona bei za nyumba za kulala wageni ziko juu sana kulinganisha na huku kwetu bara yaani chumba ambacho huku bara unaweza kulala kwa Tsh. 5000 wao wanatoza 20K.Tatizo ni mji wa kitalii ama, mbona Arusha na miji mingine ya kitalii bei hazipo hivyo?