Miaka ya 2010 walisema kuwa, mkonga wa taifa mawasiliano ukikamilika bei ya vifurushi itapungua, lakini siku zinavyozidi kwenda bei ya vifurushi inazidi kupaa.
Swali dogo tu! Miaka ya nyuma (2000), bei ya vifurushi vya simu ilikuwa chini ingawa wateja walikuwa ni wachache, lakini leo vifurushi vya simu bei juu na wateja ni wengi! Je, kati ya zamani na sasa, zama zipi makampuni yanatengeneza faida kubwa kati ya kipindi cha wateja wachache na wateja wengi?
Hivyo hivyo, kwenye makampuni ya ving'amuzi, miaka ya nyuma vifurushi vilikuwa bei chini ingawa wateja walikuwa wachache, lakini leo bei ni juu na wateja ni wengi!
Mimi nilidhani zama hizi bei ya vifurushi ilipaswa ishuke chini kwa sababu makampuni yana wateja wengi ukilinganisha na zamani!
Kwenu wataalamu wa uchumi!
Swali dogo tu! Miaka ya nyuma (2000), bei ya vifurushi vya simu ilikuwa chini ingawa wateja walikuwa ni wachache, lakini leo vifurushi vya simu bei juu na wateja ni wengi! Je, kati ya zamani na sasa, zama zipi makampuni yanatengeneza faida kubwa kati ya kipindi cha wateja wachache na wateja wengi?
Hivyo hivyo, kwenye makampuni ya ving'amuzi, miaka ya nyuma vifurushi vilikuwa bei chini ingawa wateja walikuwa wachache, lakini leo bei ni juu na wateja ni wengi!
Mimi nilidhani zama hizi bei ya vifurushi ilipaswa ishuke chini kwa sababu makampuni yana wateja wengi ukilinganisha na zamani!
Kwenu wataalamu wa uchumi!