Wakuu.
Najiuliza kwa nini Bei ya mazao kipindi cha JK ilikua juu kuanzia mazao ya chakula na biashara?
Ajabu kwa mfano ufuta mwaka huu mbeya umefika hadi 1300 kwa kilo.
Kwenye mchele ndio majanga, soya kuna balaa huko mimi nadhani Serikali kwa kuwa hawatoi ruzuku kwa mkulima waachie uhuru wa ununuaji na uuzaji wa mazao ili mkulima afanye kitu ambacho kitakuwa msaada kwake.
Hivi vyama vya ushirika havina maana hivi fikiria mnunuzi anakuja kununua na mifuko yake lakini kwenye korosho eti mkulima anauziwa gunia na chama hii sio sawa.
Najiuliza kwa nini Bei ya mazao kipindi cha JK ilikua juu kuanzia mazao ya chakula na biashara?
Ajabu kwa mfano ufuta mwaka huu mbeya umefika hadi 1300 kwa kilo.
Kwenye mchele ndio majanga, soya kuna balaa huko mimi nadhani Serikali kwa kuwa hawatoi ruzuku kwa mkulima waachie uhuru wa ununuaji na uuzaji wa mazao ili mkulima afanye kitu ambacho kitakuwa msaada kwake.
Hivi vyama vya ushirika havina maana hivi fikiria mnunuzi anakuja kununua na mifuko yake lakini kwenye korosho eti mkulima anauziwa gunia na chama hii sio sawa.