Kwanini BAVICHA wanakwenda Dodoma?

hizi ndio akili zinazotaka kushika mamlaka ya nchi. empty heads.
 
Malisa naomba na wewe uende dodoma uungane na hao bavicha sio kuhamasisha humu kwenye mitandao
Nadhani siku polisi wakigoma kuwatetea,mtatangaza kutokuwa na imani na jeshi la polisi. Mtawaita wanatumika,wamehongwa,niukawa,raisi tumbua IGP na kila aina ya michezo

Kule Ujerumani,Poland na Italia ilikuwa hivihivi
 
Wewe jamaa ni mjinga sana. Nchi inaongozwa kwa kufuata katiba na sio chama.
 

binafsi ninatatizwa sana na ukimya wa viongozi wa dini kushindwa kukemea hiki kinachoendelea nchini mwetu katika hizi siku za karibuni. ina maana vyanzo na viashiria vya uvunjifu wa amani hawavioni kweli? ina maana hakuna roho wa Mungu anayewafunulia kuiona hatari inayoweza kuja huko mbele? hivi hawajui kuwa amani ya nchi ikivurugika hizo nyumba zao za ibada zitakuwa hazikaliki?

wapi Bakwata? wapi CCT? wapi TEC? wapi Pentecostal church?

najua wengine mtadai "oh tunasugua magoti katika kuombea nchi". watumishi, kuomba pekee hakutoshi nawaambia. kemeeni mambo haya yenye viashiria vya kutugawa Watanzania. nawaambia tena KEMEENI!!

niwakumbushe ninyi watumishi wa Kikristo....Yesu alipoingia jijini Yerusalemu na kukuta watu wanafanya biashara ndani ya hekalu la Mungu - HAKUPIGA MAGOTI KUOMBA - bali alipandwa na ghadhabu na kufurusha vijimeza vya biashara kule!
huo ndio utumishi wa kweli tunaoutegemea kuuona kutoka kwa viongozi wa dini zetu Tanzania.
 

Lakini tukumbuke kuwa wakati Sumaye alipozuiliwa kufanya mkutano Dodoma, Lowassa aliruhusiwa kufanya mkutano Dar es Salaam. Pengine Sumaye na wafuasi wake wa Dodoma hawakufuata taratibu.
 
Itakua busara nyie viongozi mkatangulia mbele alafu sisi mashabiki wafia chama tufate kwa nyuma..

waziri alisema atadili na viongozi tu
 
wapenda haki tupige kelele kuvunjwa kwa agizo la polisi

wapenda amani tupige kelele kuvunjwa agizo la mh. rais

naunga mkono wananchi wote tujitokeze kupiga kelele mjini Dodoma KUHUSU UTII WA SHERIA BILA SHURUTI.

AMANI NI TUNDA LA HAKI
 
wapenda haki tupige kelele kuvunjwa kwa agizo la polisi

wapenda amani tupige kelele kuvunjwa agizo la mh. rais

naunga mkono wananchi wote tujitokeze kupiga kelele mjini Dodoma KUHUSU UTII WA SHERIA BILA SHURUTI.

AMANI NI TUNDA LA HAKI
??
 
Labda atatengua kauli xaxa mikutano rukxa lasivyoo itonekana picha kweli hakuna haki apa yani mikutano ndo iruhuciwe kwamaccm tu haa kichekesho ichoo
 
bila chichemi kung'olewa hakuna haki itasimama tz !
hakuna chombo cha dole cha usalama kitakua neutral..
hakuna katiba itafuatwa..
 
Hii muvi sijui tu.....[emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
lazima mda si mrefu polisi wataongea kitu km 7bu kuhalalisha huo mkutano,mtaniambia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…