Kwanini BAVICHA wanakwenda Dodoma?

Yaani..... Imebidi nibaki kucheka tu!

Huo ndiyo ule Udikteta Uchwara tunaoupinga kwa nguvu zote!
Naomba ujitokeze hadharani useme hayo maneno...
 
The fool who who knows his foolishness is wise at any rate so far.But the fool who thinks himself wise, he is indeed a fool." Dhammapada: 63"
 
Mimi ni mwanachama wa CHADEMA naunga mkono juhudi za UKAWA kutafuta demokrasia ya kweli ila kitendo cha kwenda Dodoma kuzuia mkutano sikubaliani nayo kwa sababu najua jeshi la polisi limeegemea kutetea chama tawala na tukijaribu kuzuia huenda kitavuruga zaidi amani na watu wasio na hatia watapata vilema vya maisha..!! Kwa maoni yangu napendekeza siku hiyo tufanye mikutano yetu ya ndani na hadhara (if possible) pale Dodoma na kwingineko. Iwe droo match......wakituzuia then hio plan B ya kwenda kuzuia mkutano wao ntaunga mkono
 
CCM ni chama Tawala chenye Serikali yake! Acheni kuilinganisha na Vyama Uchwara!
 
Malisa naomba na wewe uende dodoma uungane na hao bavicha sio kuhamasisha humu kwenye mitandao
 
Mambo ya UKAWA hayajawahi dum. Kila Siku ngojera na Tenzi. Hivi kesi mliyofungua mwanza mmeshinda? Nakumbuka Mbowe alisema hataondoka mwanza hadi haki ipatikane
 
WAKATI MWINGINE CHADEMA MUWE NA AKILI***Hivi kweli mtaweza kuwazuia CCM wasifanye Mkutano wao wa kumkabizi Uwenyekiti wa Chama Rais Magufuli?
Hawa akina Sisopi wasiwafanye Wajinga , Sisopi kwao wana N'gombe zaidi ya 5000 wakiuza 10 tu si wanamweka Wakili wa kumtetea wewe Mwenzangu na Mimi nani atakutetea ??

Nakumbuka Kisa kimoja Kuna Rafiki yangu mmoja pale Arusha cku hiyo aligombana sana na Mkewe kuhusu hari ya Chakula pale Nyumbani kwao kwa kifupi Mdudu njaa alitawala ktka Nyumba yao . Cku hiyo Chadema wanafanya Mkutano usio rasmi ktka Uwanja wa NMC sasa hivi nambiwa Kuna Soko la Samunge , huyu Mshkaji akamwambia Mkewake ngoja nikalete Sukari Uwakorogee Uji Watoto Mama akawa anasubiri kumbe huyu bwana kaenda NMC Kwenye Mkutano. Mama akiwa anasubiri Sukari ghafla anaona Mlango wa Chumba walichopanga kinafunguliwa anamwona Mume wake akiwa Hoi bin taabani Damu zinamvuja Mdomoni Taya limevunjwa na Kitako Cha Bunduki. Waliomleta wakatokomea zao Jamaa akabaki anamtolea Macho Mkewe huku Damu zinavuja Mkewake akamuliza " Hizi Damu zinazokuvuja ndio Sukariiiiii ? Matatizo juu ya Matatizo. Mbaya Zaidi Jeshi la Polis lilisha tangaza Mtu yoyote atakaenda Hospital akiwa na Majeraha lazima Awe na Pf3 kwani Kuna Watu wamefanya Uhalibifu wa Kituo Cha Polisi kwa kuvunja Vioo . Ukweli Matibabu ya huyu Mshikaji Wetu yalikuwa Magumu sana 3week ananyweshwa Uji wa Chumvi na Mkewe hakuna hata Kiongozi Wa Chadema aliyemtembelea kipindi kile.
Sasa na hili mnavyoamasishana Kwenda Dodoma Ili kuzuia Mkutano halali wa CCM angalieni familia zenu zipojepoje.
 
Hizi ni kick za kutafuta headlines kwenye media. Mbona Jana bavicha wamefanya kikao cha ndani na kutoka na tamko la ovyo
 
Hongera sana Bavicha , jukumu la ulinzi ni kwa kila mtanzania .
 
Nani aliyekuambia kuwa sehemu akiwepo Rais ni shughuli ya Serikali? Rais akiwa kwenye msiba nyumbani kwao ni shughuli ya Serikali? Rais akiwa ibadani kanisani ni shughuli ya Serikali?
 
Hiyo uliyosema sio siasa
 
Strategy ya kijinga hii
Ukikubali CCM wasifanye mkutano basi maana yake unavitambua vitendo na maagizo ya Polisi kuzuia demokrasia kama matendo halali!
Na wamuombe msamaha rais kwa kumuita dikteta uchwara..maana kwa mujibu wa mbowe lile ni tamko la chama.
 
Msiishie kutoa matamko, nendeni kabisa mkawadhibiti ccm kufanya kikao ambacho Mh Rais ni mjumbe. Hakuna rangi mtaacha kuona siku hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…