Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,574
- 272,320
Bashiru Ally ambaye ni Katibu Mkuu wa ccm anafanya ziara Zanzibar , leo inasemekana yuko Pemba , lakini kwa kauli yake mwenyewe anasema amekwenda kuimarisha chama , anadai baada ya kumaliza kazi hiyo Tanzania bara ( Tanganyika ) sasa ni zamu ya Zanzibar , hii maana yake ccm Zanzibar haikuimarika kama ccm ya bara , Huu ni uongo wa mchana .
Chama ambacho kinaongoza Zanzibar yote bila upinzani wowote tangu 2015 , ambacho Mgombea wake wa Urais alishinda kwa 99% , hiki si cha kutudanganya kwamba amekwenda kukiimarisha , Bashiru Ally aseme ukweli kile alichotumwa kwenda kukifanya Zanzibar ( mimi nakijua ) , awe mkweli wala hana haja ya kuogopa , kwanza anaogopa nini ?
Vinginevyo atueleze wazi kwamba ccm haikushinda 2015 na kwamba haikubaliki Zanzibar kwa 87% , hapo tutaamini kweli kwamba amekwenda kukiimarisha
====
Huu ndio mkakati pekee wa ccm uliobakia kabla ya kuleta vita .
Chama ambacho kinaongoza Zanzibar yote bila upinzani wowote tangu 2015 , ambacho Mgombea wake wa Urais alishinda kwa 99% , hiki si cha kutudanganya kwamba amekwenda kukiimarisha , Bashiru Ally aseme ukweli kile alichotumwa kwenda kukifanya Zanzibar ( mimi nakijua ) , awe mkweli wala hana haja ya kuogopa , kwanza anaogopa nini ?
Vinginevyo atueleze wazi kwamba ccm haikushinda 2015 na kwamba haikubaliki Zanzibar kwa 87% , hapo tutaamini kweli kwamba amekwenda kukiimarisha
====
Huu ndio mkakati pekee wa ccm uliobakia kabla ya kuleta vita .