Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,197
Ndivyo ulivyoambiwa au uliona?
Niliambiwa na bunge la Tanzania kupitia hansard zake
Nimeona akipita na kugawa pesa misikitini na makanisani
Nimesikia kwenye vyombo vya habari akitajwa kuwa ni fisadi.
Kati ya hayo matatu kuna moja linaweza kuwa sahihi kwa asilimia 150, moja sahihi kwa asilimia 100 na lingine sahihi kwa aslimia 50.