AskariKanzu
Member
- Jul 25, 2025
- 38
- 146
Nilihisi labda huyu tu ila baada ya kuwa na mahusiano kadhaa nakuwa na mapenzi na kumuhusudu mpenzi wangu na kutamani kila muda niwe karibu nae, ila tukishavunja amri ya sita tu mambo yanakuwa tofauti.
Ata awe mrembo vipi mara baada tu ya tendo sitaki kumuona tena.
Ata awe mrembo vipi mara baada tu ya tendo sitaki kumuona tena.