Kwanini Arusha imekuwa ni ngome ya CHADEMA?

Kasimba G

JF-Expert Member
Jan 19, 2011
3,428
2,609
Ukiongelea ngome za CDM majiji yote kasoro Tanga, Yaani mbeya, Dar, Mwanza na Arusha, lakini arusha wana special case, ndio maana tathmini ya watu wanasema hata CDM ikisimamisha jiwe watashinda, hivi wanajf wenzangu mmeisha wahi tafakari sababu ni nini?

Kwa jiji la Arusha, viongozi wengi saana wa serikali na chama i.e. CCM kwa kutumia kigezo cha jiji la kitalii, wamawekeza saana huko, sasa raia wa kawaida wanaona mambo hayo kwa macho yao, hivi unafikiri wenyewe wanafikiri viongozi hao wanatoa wapi mabilioni ya kuwekeza Arusha kama sio kuiba! Ndio msingi haswa unaosababisha CCM isieleweke arusha.

Kwa sehemu nyingine za nchi hawajui source ni nini, ndio maana hata wanaCCM wanaokaa arusha only a few wanaweza ku VOTE kwa CCM, wanaona madudu hayo!

Nawasilisha!
 
Inaonekana Arusha ni mji (sipendi kuita jiji nikikumbuka majiji kama Tokyo, Dubai, Beijing, NY, Cairo, n.k.) wa kiharakati zaidi.

Watu wa Arusha wengi wao maisha yao wanaishi kiharakati kulinganisha na miji mingine na kwa kuwa CDM (hata Mh. Pinda aliwahi kutamka hivyo) mambo yao wanafanya kiharakati then Arusha na CDM ni kama mapacha. Hayo ni mawazo yangu.
 
Wajinga wajinga wamepungua Arusha waliobaki ni fighters ambao wamegundua kuchelewa kwao kimaisha moja ya sababu ni ccm, ndio maana Arusha ukisimamisha jiwe na jk ,jiwe litashinda ilmradi liwe na bendera ya Chadema!chadema kama chama kinapendwa Arusha ccm ni sehemu ya matatizo ya Arusha
 
Wajinga wametoweka kwa kiwango kikubwa Arusha. Mtaji wa ccm siku zote ni wajinga! Hata rais aliyetangazwa mshindi na NEC anajua ccm haina chake Arusha, kwasababu watu wa Arusha wamepata elimu ya democrasia, ndiyo maana tokea atangazwe mshindi hajawahi kukanyaga Arusha kwa kufanya Mkutano.
 
Kule Arusha watu wana uelewa sana kuhusu haya majambazi ccm but so kama kule tanga kwani wao hawajui chochote kile kwao kazi ni midundiko, vigodoro usiku kucha mpaka asubuhi zas y mi huwa nasema sehemu ambazo zimekaliwa na waarabu watu wake wengi huwa ni vilaza wa elimu ya uraia.
 
Wajinga wametoweka kwa kiwango kikubwa Arusha. Mtaji wa ccm siku zote ni wajinga! Hata rais aliyetangazwa mshindi na NEC anajua ccm haina chake Arusha, kwasababu watu wa Arusha wamepata elimu ya democrasia, ndiyo maana tokea atangazwe mshindi hajawahi kukanyaga Arusha kwa kufanya Mkutano.
Of last alipokuja aLIIngia usiku wa saa 1.30, akalala sehemu ya maficho, na asubuhi kafungua mkutano wa Takukunguru AICC, na by saa 4 akachapa lapa kurudi Dar, chini ya ulinzi mkali ajabu!

Arusha ni jeshi kubwa sana linaloendelea kukua...kizazi cha sasa chote, tuseme Primary na Secondary schools hakuna mwanafunzi yeyote anayeweza kutamka, acha kushabikia ccm, walishapita enzi hizo, wako ng'ambo ya pili!...kuna picha ilibandikwa humu wakati wa kampeni Arumeru, watoto wa Nursery wamepiga full-kombati(aka magwanda), sasa fikiria watoto kama wale utaanzia wapi kuwabadili fikra zao kichwani waipende ccm, maana akili yao ishajua ccm=mafisadi!

Kizazi cha ccm cha akina Mzee Mrema(aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini)kinapukutika kwa haraka, na hata leo hii ukifanyika uchaguzi wa Mbunge Arusha, zile kura
36,000 alizopata Buriani hazitaweza kupatikana tena, sanasana wataishia na nusu yake, au chini ya hapo.

Imagine leo watu walikuwa wanazima moto uliokuwa unateketeza vibanda eneo la 'Chini ya Mti', huku wakiimba Peoples Power!...Sasa fikiria kazi ya kuzima moto ni ya kijamii, na wala haihusiani na siasa kabisa, lakini zoezi zima lilitiwa hamasa na slogan ya chadema!

Arusha iko Next Level!
 
A twn mji wa wajanja...na watu wanajitambua...i wish watu wa Tanzania nzima wangekuwa kama pipo za A twn..coz hata watoto wadogo huwaambii kitu kuhusu CDM. Pita kila kona ya mji, gereji, sokoni, n.k....ni chama kubwa CDM.
 
mi nadhani ni kutokana na shughuli kuu mbili.....madini na utalii.....watu walio wengi kama hafanyi kazi zinazohusiana na utalii basi ni mfanyabiashara wa mawe.....sasa ukiangalia sekta hizi mbili zimefisadiwa sana na wahanga walio wengi ni vijana....hivyo wakazi wa mji huu wanajaribu kutetea kama sio kurudisha hadhi ya mji wao....enzi za tanzanite Arusha ilikuwa mji wa asali na maziwa....
 
Arusha ni kitovu cha mabadiliko makuu ya kisiasa na mustakabali wa taifa hili,
hii ni tokea zama zile za awamu ya kwanza.
Ushahidi unaoishi ni Azimio la Arusha ambalo wasomi wa bara la afrika wanasema lilisimika dola la kiafrika na kuasisi fikra za kimapinduzi katika namna ya mtu mweusi anavyoweza kujiongoza na kusimamia rasilimali zake.
Damu ya "Azimio la Arusha" ndio kiini cha wakazi wa Arusha kuchukia utawala ulioua AZIMIO hilo na hvyo umma huo kugeukia kwa upande unaonekana kusimamia harakati zilizohimizwa na Azimio la Arusha,.....
KUJITEGEMEA!
 
A twn mji wa wajanja...na watu wanajitambua...i wish watu wa Tanzania nzima wangekuwa kama pipo za A twn..coz hata watoto wadogo huwaambii kitu kuhusu CDM. Pita kila kona ya mji, gereji, sokoni, n.k....ni chama kubwa CDM.
Mkuu,
Ulipotaja gereji umenikumbusha sehemu moja hapa A-Town inaitwa SIDO(kuelekea Unga-Ltd), kuna magereji mengi sana, actually wengi tunatengenezea huko mikweche yetu, maana services hazina tofauti na magereji makubwa, lakini bei ni ya kizalendo sana!

Eneo hilo lilitekwa na ccm, wanalifanya ni lao kabisa!...Sasa balaa ya eneo hilo hakuna mtu hata mmoja wa ccm katika population inayozidi watu 2000 wa hapo. Lakini kwa vile eneo ni la ccm, wote wamebaNDIKA picha za Kikwete na bendera za ccm zinapepea vibaya mno, mioyoni ni watu wa level nyingine kabisa wote ni cdm damu!
Wanasema hawana jinsi ya kuishi hapo kinyume na kuonyesha unaipenda ccm, maana utafukuzwa na kuporwa eneo.

Peopleeees Power!
 
Mkuu,
Ulipotaja gereji umenikumbusha sehemu moja hapa A-Town inaitwa SIDO(kuelekea Unga-Ltd), kuna magereji mengi sana, actually wengi tunatengenezea huko mikweche yetu, maana services hazina tofauti na magereji makubwa, lakini bei ni ya kizalendo sana!

Eneo hilo lilitekwa na ccm, wanalifanya ni lao kabisa!...Sasa balaa ya eneo hilo hakuna mtu hata mmoja wa ccm katika population inayozidi watu 2000 wa hapo. Lakini kwa vile eneo ni la ccm, wote wamebaNDIKA picha za Kikwete na bendera za ccm zinapepea vibaya mno, mioyoni ni watu wa level nyingine kabisa wote ni cdm damu!
Wanasema hawana jinsi ya kuishi hapo kinyume na kuonyesha unaipenda ccm, maana utafukuzwa na kuporwa eneo.

Peopleeees Power!

kumbe jombaa na wewe ni chama la kule kwa wakereketwa....
 
sehemu yenye watu walioelimika hawawezi kuipenda ccm/ mfano Arusha, moshi, mwanza, mbeya, hata shinyanga wako vizuri sana. Kigoma nako wakali kweli kweli.
 
Nashukuru kwa kuukubali mji/jiji letu kwa mabadiliko ya kisiasa na kijamii na hakika Arusha ndo italeta mapinduzi ya kisiasa nchi hii. Kwa msisitizo peoplessssssssssss powerrrrrrrr ndo tunataka kufanya salamu yetu na baadaye iwe ya kitaifa wakuu
 
Kule Arusha watu wana uelewa sana kuhusu haya majambazi ccm but so kama kule tanga kwani wao hawajui chochote kile kwao kazi ni midundiko, vigodoro usiku kucha mpaka asubuhi zas y mi huwa nasema sehemu ambazo zimekaliwa na waarabu watu wake wengi huwa ni vilaza wa elimu ya uraia.
Acha matusi Arusha ni kama sehemu nyingine yoyote katika Tanzania sema UBINAFSI UDINI NA UKANDA ndo umewajaa sana na watu wengi wa Arusha wanaona Chadema ndo mali yao kwakuwa kina Mwenyekiti ambae ametokea Hai na ni mkwe wa muasisi wa Chadema pia Katibu Mkuu ni kutoka Mbulu hivyo kutokana na ubinafsi walokuwa nao wanaona hawana Chama cha kushabikia zaidi ya Chadema na ajenda yenu ya kutaka kuwatumia Watanzania wengine kwa kuwadanganya kuwa Chadema itawaletea ukombozi watu washagutuka na hiyo ajenda ya SIRI!
 
Of last alipokuja aLIIngia usiku wa saa 1.30, akalala sehemu ya maficho, na asubuhi kafungua mkutano wa Takukunguru AICC, na by saa 4 akachapa lapa kurudi Dar, chini ya ulinzi mkali ajabu!

Arusha ni jeshi kubwa sana linaloendelea kukua...kizazi cha sasa chote, tuseme Primary na Secondary schools hakuna mwanafunzi yeyote anayeweza kutamka, acha kushabikia ccm, walishapita enzi hizo, wako ng'ambo ya pili!...kuna picha ilibandikwa humu wakati wa kampeni Arumeru, watoto wa Nursery wamepiga full-kombati(aka magwanda), sasa fikiria watoto kama wale utaanzia wapi kuwabadili fikra zao kichwani waipende ccm, maana akili yao ishajua ccm=mafisadi!

Kizazi cha ccm cha akina Mzee Mrema(aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini)kinapukutika kwa haraka, na hata leo hii ukifanyika uchaguzi wa Mbunge Arusha, zile kura
36,000 alizopata Buriani hazitaweza kupatikana tena, sanasana wataishia na nusu yake, au chini ya hapo.

Imagine leo watu walikuwa wanazima moto uliokuwa unateketeza vibanda eneo la 'Chini ya Mti', huku wakiimba Peoples Power!...Sasa fikiria kazi ya kuzima moto ni ya kijamii, na wala haihusiani na siasa kabisa, lakini zoezi zima lilitiwa hamasa na slogan ya chadema!

Arusha iko Next Level!

Mia ya mia chali R huku ccm hainaga kitu aaarifu ni sawa na inapiga sarakasi huku imefaa taulo tu.
 
Back
Top Bottom