Kasimba G
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 3,428
- 2,609
Ukiongelea ngome za CDM majiji yote kasoro Tanga, Yaani mbeya, Dar, Mwanza na Arusha, lakini arusha wana special case, ndio maana tathmini ya watu wanasema hata CDM ikisimamisha jiwe watashinda, hivi wanajf wenzangu mmeisha wahi tafakari sababu ni nini?
Kwa jiji la Arusha, viongozi wengi saana wa serikali na chama i.e. CCM kwa kutumia kigezo cha jiji la kitalii, wamawekeza saana huko, sasa raia wa kawaida wanaona mambo hayo kwa macho yao, hivi unafikiri wenyewe wanafikiri viongozi hao wanatoa wapi mabilioni ya kuwekeza Arusha kama sio kuiba! Ndio msingi haswa unaosababisha CCM isieleweke arusha.
Kwa sehemu nyingine za nchi hawajui source ni nini, ndio maana hata wanaCCM wanaokaa arusha only a few wanaweza ku VOTE kwa CCM, wanaona madudu hayo!
Nawasilisha!
Kwa jiji la Arusha, viongozi wengi saana wa serikali na chama i.e. CCM kwa kutumia kigezo cha jiji la kitalii, wamawekeza saana huko, sasa raia wa kawaida wanaona mambo hayo kwa macho yao, hivi unafikiri wenyewe wanafikiri viongozi hao wanatoa wapi mabilioni ya kuwekeza Arusha kama sio kuiba! Ndio msingi haswa unaosababisha CCM isieleweke arusha.
Kwa sehemu nyingine za nchi hawajui source ni nini, ndio maana hata wanaCCM wanaokaa arusha only a few wanaweza ku VOTE kwa CCM, wanaona madudu hayo!
Nawasilisha!