Kwanini anarudi nyuma? Why men pull away in relationship

Kwanini anarudi nyuma? Why men pull away in relationship

Nakumbuka siku hiyo tulioga wote. Kutokana na malavidavi, tukashave pamoja bafuni. Nikatarajia ataflash zile nywele ziende na maji, ila nashangaa mwenzangu kazikusanya. Namuuliza kulikoni, anasema ataenda kuzitupa nje. Kumbana sana, naona anazungumzia mambo ya mila za kwao. Nikaona hapa sio, nikapiga chini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Angekuweka kwenye chupa kama wabongo walivyowekwa kwenye chupa na ccm
 
How she treat me with caring,Loyalty,Respect and Appreciation
Haya yote kuna mafundi wa kuyafanya ... Ila huwa wanayafanya kwa maagizo tu ili waweze ku-win your heart
 
Mimi wangu nilimpata nikampenda na kumuamini sana, ndani ya miezi miwili akanisihi sana nikajitambulishe kwa kaka yake, nikakomaa akaforce nikaona sio kesi tukapanga siku itafika nikaenda kujitambulisha ,baada ya tukio lile tu kupita zikaanza hekaheka za ndoa ,nikamuuliza mbona mbona mapema sana ? Yeye wimbo ukawa ni ndoa ndoa ,nikakaa nikatafakari sana nikagundua pale hakuna mwanamke wa kuoa ila aliforce hivyo ili tu aonekane pia kapitia ktk ndoa,
Niliamua kuyeyuka kama chumvi ndani ya maji mpaka kesho hua anaendelea kinilaani

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha watu wabaya
 
Kuna sababu nyingi nionavyo mimi,wanaume ni watu wa kutamanitamani sana.Mwanaume kukufuatilia sana au kukupa unachotaka haina maana kafika (ingawa hii inatokea),inawezekana anatafuta njia uingie mtegoni akumege,anaweza hata akaahidi/kukubali ndoa.
Muhimu ni 'give yourself time' mjuane vizuri.Don't pretend,be yourselves wakati mpo pamoja.Kuna tabia na matendo ambavyo vitamgusa mwanamme na yeye mwenyewe atajikita kwako.Wanaume wengi wana 'pull back' sababu there is nothing to make them stay'.

Sent using Jamii Forums mobile app
Indeed
 
Nakumbuka siku hiyo tulioga wote. Kutokana na malavidavi, tukashave pamoja bafuni. Nikatarajia ataflash zile nywele ziende na maji, ila nashangaa mwenzangu kazikusanya. Namuuliza kulikoni, anasema ataenda kuzitupa nje. Kumbana sana, naona anazungumzia mambo ya mila za kwao. Nikaona hapa sio, nikapiga chini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha
 
Nakumbuka siku hiyo tulioga wote. Kutokana na malavidavi, tukashave pamoja bafuni. Nikatarajia ataflash zile nywele ziende na maji, ila nashangaa mwenzangu kazikusanya. Namuuliza kulikoni, anasema ataenda kuzitupa nje. Kumbana sana, naona anazungumzia mambo ya mila za kwao. Nikaona hapa sio, nikapiga chini.

Sent using Jamii Forums mobile app
What ...lol
 
Kuna sababu nyingi nionavyo mimi,wanaume ni watu wa kutamanitamani sana.Mwanaume kukufuatilia sana au kukupa unachotaka haina maana kafika (ingawa hii inatokea),inawezekana anatafuta njia uingie mtegoni akumege,anaweza hata akaahidi/kukubali ndoa.
Muhimu ni 'give yourself time' mjuane vizuri.Don't pretend,be yourselves wakati mpo pamoja.Kuna tabia na matendo ambavyo vitamgusa mwanamme na yeye mwenyewe atajikita kwako.Wanaume wengi wana 'pull back' sababu there is nothing to make them stay'.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa
 
Mtu anatabia sio au mwenendo sio, unamkalisha chini kumuelekeza aachane nao yeye anakuonyesha kuwa mimi ndio nilivyo hivi yaani sipangiwi. Hapo hapo huwa naona redflag....... Napull away kama pweza.......

Raha ya mwanamke ni utii. Ukimwambia jambo anarespond kwa utii na uelewa. Hapo lazima ujione kidume mwenye mamlaka hapa duniani na yeye ndie malkia wako......

One time kuna binti alikuwa na tabia za kuweka whatsapp last seen inakuwa off. Nikamwambia why anaficha last seen status, akanijibu "basi tu sipendi ionekane". Katika maongezi ili kujuana ana nambia mimi sinaga marafiki wa kike mostly ni boys ndio rafiki zangu.
Nikamwambia why sasa mbona kama hajakaa sawa hiyo, anajibu, "Mimi ndio nilivyo hivyo na siwezi badilika". Nikajisemea kimoyomoyo, ona jinga moja hili. Me naliset liwe kwenye mstari mzuri lenyewe linaanza kuleta bange zake.......

Nikamuepuka kama ukoma ...,..
 
Sababu haziwezi fanana.
Mm kwangu dharau na nyodo zinatosha kujiengua kwenye mahusiano
 
Kwa experience yangu.

Kila mtu anakuwa na turn offs au deal breakers zake. Tunaweza ziita "Vunja Mkataba" zake. Wanaume wengi naona tunazo common kadhaa ila nyengine tunapishana kama ilivyo tabia, hatufanani.

Unakuta mtu unamkubali vzur, lakini unakuja kupata deal breaker, inakulazmu ujitoe.

Unakuta,

- Mdada analazimisha ndoa wakati wewe bado hujapitisha TBS vizuri, au tu kama mwanaume unaona conditions bado haziko sawa, ila mwenzio anakupa timeline na kuforce sana. Unajikuta unaamua acha usiwe kikwazo kwenye maisha yake. Unajitoa.

- Unagundua mwenzio ana mindset flan unaona kabisa hii itakua shida mbeleni.

- Unagundua si muaminifu, ni mwizi, mshirikina, au ana tamaa sana ya mali na maisha, au ushindani usio wa maana. Unaona isiwe kesi, unajitoa.

- Labda kuna tabia haikupendezi na kila unavyojaribu habadiliki. Hapa wengine unaskia wakisema "Me ndo nilivyo hata wengine wameshanizoea hivi." kimoyo moyo unasema sawa. Ila mimi si wengine. Unajitoa.

Wengine waongezee deal breaker zao.

Mfano mimi kuna tabia naweza kukuvumilia maana najua binadamu hatuja kamilika. Ila ukini cheat, aisee hilo Nimejigundua siwezag kusamehe. Nitajitoa!

Ongezea za kwako...

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea vizuri.Funga kazi ni kucheat.Fanya yote ila mwanaume ukijua mwanamke wako amegawa kwa kidume mwingine maumivu yake ni makubwa na hayavumiliki.
 
Alifutuka kwa kasi ya 4G na kuwa kibonge, kiukweli ule mwili haukumpendeza nilijitahidi kumpenda kama mwanzoni ikashindikana nkaona ntakuja kumtesa tu huyu huko mbeleni.. nkaachana nae.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom