Kwanini anarudi nyuma? Why men pull away in relationship

Kwanini anarudi nyuma? Why men pull away in relationship

Pull away (kujitoa kutoka mahali/sehemu)

Sababu zinaweza kuwa nyingi sana. Hivyo inategemeana na mtu na mtu. Mfano mimi nikagundua kuwa unani cheat nita "pull away". Au mfano mtu ameanza dharau tu ghafla humwelewi. Nakuacha kabla hujaniacha.
Ni matendo yapi ukitendewa unayatafsiri kama dharau ?
 
Kwa experience yangu.

Kila mtu anakuwa na turn offs au deal breakers zake. Tunaweza ziita "Vunja Mkataba" zake. Wanaume wengi naona tunazo common kadhaa ila nyengine tunapishana kama ilivyo tabia, hatufanani.

Unakuta mtu unamkubali vzur, lakini unakuja kupata deal breaker, inakulazmu ujitoe.

Unakuta,

- Mdada analazimisha ndoa wakati wewe bado hujapitisha TBS vizuri, au tu kama mwanaume unaona conditions bado haziko rgt, ila mwenzio anakupa timeline na kuforce sana. Unajikuta unaamua acha usiwe kikwazo kwenye maisha yake. Unajitoa.

- Unagundua mwenzio ana mindset flan unaona kabisa hii itakua shida mbeleni.

- Unagundua si muaminifu, mshirikina, au ana tamaa sana ya mali na maisha.

- Labda kuna tabia haikupendezi na kila unavyojaribu habadiliki. Hapa wengine unaskia wakisema "Me ndo nilivyo hata wengine wameshanizoeq hivi." kimoyo moyo unasema sawa. Ila mimi si wengine. Unajitoa.

Wengine waongezee deal breaker zao.

Mfano mimi kuna tabia naweza kukuvumilia maana najua binadamu hatuja kamilika. Ila ukini cheat, aisee hilo Nimejigundua siwezag kusamehe. Nitajitoa!

Ongezea za kwako...

Sent using Jamii Forums mobile app
Tabia ya kupotezea calls.
Kusoma sms watsap na kuzipotezea
Ni deal breaker pia ?
 
Inategemea....

Nimejaribu kukumbuka historia ya mahusiano yangu....nimegundua hakuna sehemu niliyojin'gatua.

Huwa naacha wajiongeze kwamba hapa upendo haupo tena.
 
Naanza kuchat na wengine ambao wana thamini muda na effort zangu.

Unajua maisha yalivyo funny, unaweza ukaanza kujilaumu kwanini sikuanza mapema. Yani unakuta umehamia Voda, mtandao unashika balaa.

Halafu Tigo wanaanza kusumbua, mbona siku hizi hutumii mtandao wetu.

Vip kwako ukiwa na mtu wa style hiyo
Ukipiga hapokei
Ukituma sms hakujibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi wangu nilimpata nikampenda na kumuamini sana, ndani ya miezi miwili akanisihi sana nikajitambulishe kwa kaka yake, nikakomaa akaforce nikaona sio kesi tukapanga siku itafika nikaenda kujitambulisha ,baada ya tukio lile tu kupita zikaanza hekaheka za ndoa ,nikamuuliza mbona mbona mapema sana ? Yeye wimbo ukawa ni ndoa ndoa ,nikakaa nikatafakari sana nikagundua pale hakuna mwanamke wa kuoa ila aliforce hivyo ili tu aonekane pia kapitia ktk ndoa,
Niliamua kuyeyuka kama chumvi ndani ya maji mpaka kesho hua anaendelea kinilaani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna sababu nyingi nionavyo mimi,wanaume ni watu wa kutamanitamani sana.Mwanaume kukufuatilia sana au kukupa unachotaka haina maana kafika (ingawa hii inatokea),inawezekana anatafuta njia uingie mtegoni akumege,anaweza hata akaahidi/kukubali ndoa.
Muhimu ni 'give yourself time' mjuane vizuri.Don't pretend,be yourselves wakati mpo pamoja.Kuna tabia na matendo ambavyo vitamgusa mwanamme na yeye mwenyewe atajikita kwako.Wanaume wengi wana 'pull back' sababu there is nothing to make them stay'.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi wangu nilimpata nikampenda na kumuamini sana, ndani ya miezi miwili akanisihi sana nikajitambulishe kwa kaka yake, nikakomaa akaforce nikaona sio kesi tukapanga siku itafika nikaenda kujitambulisha ,baada ya tukio lile tu kupita zikaanza hekaheka za ndoa ,nikamuuliza mbona mbona mapema sana ? Yeye wimbo ukawa ni ndoa ndoa ,nikakaa nikatafakari sana nikagundua pale hakuna mwanamke wa kuoa ila aliforce hivyo ili tu aonekane pia kapitia ktk ndoa,
Niliamua kuyeyuka kama chumvi ndani ya maji mpaka kesho hua anaendelea kinilaani

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu umenikosesha dili la mapambo
 
Mimi wangu nilimpata nikampenda na kumuamini sana, ndani ya miezi miwili akanisihi sana nikajitambulishe kwa kaka yake, nikakomaa akaforce nikaona sio kesi tukapanga siku itafika nikaenda kujitambulisha ,baada ya tukio lile tu kupita zikaanza hekaheka za ndoa ,nikamuuliza mbona mbona mapema sana ? Yeye wimbo ukawa ni ndoa ndoa ,nikakaa nikatafakari sana nikagundua pale hakuna mwanamke wa kuoa ila aliforce hivyo ili tu aonekane pia kapitia ktk ndoa,
Niliamua kuyeyuka kama chumvi ndani ya maji mpaka kesho hua anaendelea kinilaani

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ulifanya ukatili sana
Ungemuoa kimasihara tu
 
Nakumbuka siku hiyo tulioga wote. Kutokana na malavidavi, tukashave pamoja bafuni. Nikatarajia ataflash zile nywele ziende na maji, ila nashangaa mwenzangu kazikusanya. Namuuliza kulikoni, anasema ataenda kuzitupa nje. Kumbana sana, naona anazungumzia mambo ya mila za kwao. Nikaona hapa sio, nikapiga chini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom