😂
Huo ndio ukweli.
Huku Tanzania kuna mahusiano ya aina mbili
1. Mahusiano ya uongo
Haya lengo lake kuu ni kula K. Kama ni huduma utapata zote, na hela utapewa na udambwidambwi wote utapewa. Lolote unalotaka utapewa Ili lengo la kula K litimie. Hapo urembo na sifa za nje ndio zinaangaliwa zaidi kama weupe, TAKO KUBWA, umodomodo, chuchu saasita, ubonge nyanya, K tamu yenye joto,kubana na utelezi, urahisi wa kupata K, ufundi kitandani. Ndio vinaangaliwa. Haya mahusiano hayana lengo la kuanzisha familia kama Baba, Mama na watoto, yaani hilo halipo. Haya ndio mahusiano mengi yaliyopo kwa sasa hasa kwa vijana na masponsor zaidi ya 75% ndio yaliyopo.
2. Mahusiano ya ukweli
Haya lengo kuu ni kuanzisha familia kama Baba, Mama na watoto. Yaani ni ndoa rasmi inayotambulika na mwanamke unakuwa Mama watoto na Mke halali wa mtu. Vigezo zaidi ni unyenyekevu, akili, tabia nzuri, kauli nzuri, kiufupi ni uwaifumatirio. Haya mahusiano ni asilimia ndogo sana.
NB: anayejua ukweli wa aina ya mahusiano mliyopo ni mwanaume mwenyewe.
Samahani kwa kutoa Siri, Naomba msamaha kwa aliyekwazika.