Hii formula ya Einstein ya E = mc² ilimpa Einstein umaarufu kwa sababu ilihusisha speed of light na ukicalculate kama una mass ukazidisha na square of speed of light unapata Energy inayotakiwa. Hapo ndipo watu walipochanganyikiwa walijiuliza alifanya maarifa gani mpaka akagundua ukisquare speed of light ukazidisha na mass unapata Energy hivyo Einstein akapata umaarufu na alionekana Creative Genius wa kipekee.
Sent using
Jamii Forums mobile app