Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,714
- 45,098
Kuna shida gani? Naona kila siku waandaaji ni Ulaya, Amerika na Asia.
Huku sisi Afrika tatizo nini? Mbona Kombe la Dunia tuliweza na likafana sana, ni wapi tumekosea mpaka tukose nafasi ya kuandaa Olimpiki?
Povu ruksa...
Huku sisi Afrika tatizo nini? Mbona Kombe la Dunia tuliweza na likafana sana, ni wapi tumekosea mpaka tukose nafasi ya kuandaa Olimpiki?
Povu ruksa...