Kwanini account ya Msemaji Mkuu wa Serikali haiko "verified"?

Kwanini account ya Msemaji Mkuu wa Serikali haiko "verified"?

Geza Ulole

Platinum Member
Joined
Oct 31, 2009
Posts
72,560
Reaction score
103,355
Hivi kati ya Account ya Msemaji Mkuu wa Serikali na ile ya binafsi ya Gerson Msigwa ipi ni ya muhimu zaidi?

Mbona ya Msemaji Mkuu wa Serikali haiko verified lakini ya binafsi ipo?

Ni makusudi au?
 
Back
Top Bottom