Akili tofautiAfrika ya Kusini ndio the largest economy in afrika with the best infrastructure in the entire continent. Mafanikio haya yamewezekana kwasababu kuna mzungu anaishi pale mpaka leo
Zimbabwe uchumi umeanguka kabisa baada ya kuanza kumuondoa mzungu. Na sasa wazimbabwe wote wanahamia afrika ya kusini kuyafata mema ya mzungu
Wakati wa ukoloni babu zetu waliwindwa kama wanyama wakadakwa wakauzwa na kupelekwa ulaya utumwani. Lakini sasa waafrika maelfu kwa maelfu wanakimbilia ulaya. Wanajipeleka wenyewe kwa mzungu tena wengine kwa kurisk maisha yao kwenye mediteranian sea.
Kule marekani mitaa wanayoishi wazungu ni bora kabisa na iko very civilized and well kept. Lakini mitaa ya waafrika ni gettho na familia zao ni vurugu tupu zenye mimba za utotoni na vijana wanaokataa shule. Hata Chris Rock aliwahi kutania kwamba ukipiga simu usiku wa manane ikawa wrong namba akipokea mweusi atakutukana lakini akipokea mzungu atakuuliza kwani ulikua unamtafuta nani labda naweza kukusaidia.
Hapa Tanzania mashirika mengi yalikufa baada ya mzungu kuondoka. Mfano mmoja ni yale mashamba ya Nafco basutu na mbarali na hata mashamba ya mkonge tanga nk
Kwani mzungu ana nini ambacho waafrika hatuna ambacho kinamfanya yeye anafanikiwa tu na sisi tunafeli kila mahali dunia nzima. Yani waafrika popote walipo na chochote wanachofanya kinafeli lakini wazungu popote walipo wanafanikiwa
Kule Haiti ambako ni karibu kabisa na america nchi imeharibika kabisa kwasababu ni nchi ya mwafrika. Meya mmoja wa Washington DC aliekua mweusi alikamatwa kwa rushwa wakati Washington DC is one of poorest city in america kwakua viongozi wake ni weusi simillar to chicago inayoongoza kwa crime rate and homicides in the united states kwakua viongozi ni weusi.
What is the missing link
Where is the missing link and where did it originate from.
Is the gap cultural, religion, economic, or psychological.
safari hii naomba tusifocus kwa mwafrika na mapungufu yake hebu tufocus na mzungu kwani nini alicho nacho mzungu ambacho sisi hatuna?
Sisi waafrika tukisoma na mzungu darasani hua tunawashinda tunaongoza katika masomo na hata katika athletic abilities lakini mwisho wa siku mzungu anaendelea kufanikiwa sisi tunarudi nyumbani kuendelea kufeli
Je ni nini ambacho mzungu anacho siso hatuna?
Ni kweli wao wana system na taasisi sisi hatuna hivyo vitu 2 vya muhimu
wao wanaadika historia na kuitumia kufanya tafiti sis hatufanyi
wao wana control all means communications sisi hatufanyi
Hatuwezi kuwafikia wala kujilinganisha nao
Hakuna anaefanya kazi halali akajenga nyumba zaidi ya 50 huyo ni mwizi nahiyo ndo hulka ya mwafrika kujilimbikizia mali yeye na familia yake na ndio sababu ya umaskini,wewe unamtetea kwa sababu unanufaika na wizi wake.br hizi ndo akili zinazofanya tusiendelee
1.Kuridhika ovyo kisa tu una nyumba au una shamba eka 50
2.Kupenda kusaidiwa ovyo,kwan huyo mwenye navyo aliokota?na wao wapambane kisawa sawa mpaka wawe nazo wawe
By the way nchi kubwa sana hii kila mtu anaweza kumiliki eka 58 na kujenga nyumba 28 kwa hio masamaki kumiliki hizo nyumba hakuna uhusiano na kwann mimi na wew ni masikini
will be back
usikwepe zungumzia kwanini sisi waafrika ukiwemo wewe tunakosa mpaka tuwe watu wa ajabu ajabu na matatizo meengi ukifananisha na mzunguUmekosea Nigeria ndio yenye uchumi mkubwa Afrika
sawa mkuu,hiyo address ngwanakilala wanaijua??Chief Msalimie sana Abdulatif Juma Mohamed ukiwasiliana na wakubwa akina Tiko kule marekani. Nilikaa nae miaka mingi Jersey City, New Jersey
Huo ni mtazamo wako. Tena ni mtazamo hasi endapo unayemzungumzia kazipata Mali hizo kihalali.Hilo ni tatizo wewe nyumba zaidi ya 50 zanini?bado mashamba magari!kwanini usisaidie wasiojiweza badala ya kujimilikisha mimali kama haufi?kuna watu wana mashamba heka 500 na hawalimi wakati kuna vijana wanatafuta ardhi hata heka 5 walime na wanakosa.
hivi kwanini sisi waafrika hatukuwahi kutoka na kwenda kutawala foreign land kama wazungu na waarabu
Nitajie hapa mzungu mwenye nyumba zaidi ya 50 aliyefanya kazi serikalini nimjue mimi simjui,ukikosa wa serikali nitajie yeyote unaemfahamHuo ni mtazamo wako. Tena ni mtazamo hasi endapo unayemzungumzia kazipata Mali hizo kihalali.
Vipi kuhusu wazungu kumiliki Mali nyingi kuliko wengine, je kwao halipo hilo?
Weee unielewi, nimekuuliza hao wazungu tunaosema wanafanikiwa. Je kwao hakuna bahadhi yao wenye kumiliki Mali nyingi kuwazidi wengine?Nitajie hapa mzungu mwenye nyumba zaidi ya 50 aliyefanya kazi serikalini nimjue mimi simjui,ukikosa wa serikali nitajie yeyote unaemfaham
Wapo lakini sio waliopewa dhamana serikalini huku wengi utaskia mwenye nyumba hizi au mashamba haya anafanya kazi TRA au mkuu wa kitengo flani,nishawahi kwenda mkoa flani nikaoneshwa mbuga na ina mpaka wanyama pori nikaambiwa hii mbuga n ya kiongozi flan ukiingia humo unakula shaba.mbona wanafanikiwa wakipata nafasi serikalin hujiulizi kwa kazi gani wanayofanya?hata hawa viongozi tulionao sasa ukianza kuwachunguza utaskia wana magorofa na mahotel wanabadili tu majina ili wasijulikane.haya mambo wenzetu waliweka sheria kali ya kuuwawa kwa watu kama hawa na zinatekelezwa ndomana wana maendeleo sisi huku tunalindana.Weee unielewi, nimekuuliza hao wazungu tunaosema wanafanikiwa. Je kwao hakuna bahadhi yao wenye kumiliki Mali nyingi kuwazidi wengine?
Kwanini wazungu hawataki sisi tuendelee?usikwepe zungumzia kwanini sisi waafrika ukiwemo wewe tunakosa mpaka tuwe watu wa ajabu ajabu na matatizo meengi ukifananisha na mzungu
Wanapenda sana tuendelee ila sisi akili zetu mbovu mno,majungu,chuki, fitina,wivu, uchawi, ulozi, unafiki na mengi mengine! !!Kwanini wazungu hawataki sisi tuendelee?
OK! Nimekuelewa, lakini suala la ufisadi na ufujaji wa Mali ya umma si huku tu Africa (japokuwa limekithiri sana Africa) hata huko kwa wazungu, Asia n.k nako yanafanyika japo si wazi wazi na kwa kufulu kama Africa.Wapo lakini sio waliopewa dhamana serikalini huku wengi utaskia mwenye nyumba hizi au mashamba haya anafanya kazi TRA au mkuu wa kitengo flani,nishawahi kwenda mkoa flani nikaoneshwa mbuga na ina mpaka wanyama pori nikaambiwa hii mbuga n ya kiongozi flan ukiingia humo unakula shaba.mbona wanafanikiwa wakipata nafasi serikalin hujiulizi kwa kazi gani wanayofanya?hata hawa viongozi tulionao sasa ukianza kuwachunguza utaskia wana magorofa na mahotel wanabadili tu majina ili wasijulikane.haya mambo wenzetu waliweka sheria kali ya kuuwawa kwa watu kama hawa na zinatekelezwa ndomana wana maendeleo sisi huku tunalindana.
Kama issue ni body size hapo umetudanganya maana wazungu wengi wana miili mikubwa tena inaweza kuwa mikubwa kuliko ya waafrika.Mazingira ya Afrika kwa asili yanahitaji watu wanaotumia nguvu ili waishi na sio akili ndiyo maana Africans are giant and fit by nature, mabara ya weupe ni ya kutumia akili na sio nguvu ndio maana weupe ni weak and prone. Ukileta akili afrika unapoteza muda na vivyo hivyo ulaya ukipeleka nguvu unapotea. Waafrika tumenyimwa vingi ila tumepewa wanawake wenye maumbie, wa moto wanafaa sana kwa ngono.
Kwanini unamuuliza mwenzako swali gumu kiasi hicho ?Nitajie hapa mzungu mwenye nyumba zaidi ya 50 aliyefanya kazi serikalini nimjue mimi simjui,ukikosa wa serikali nitajie yeyote unaemfaham