Tized
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 4,025
- 5,980
Kweli kabisa SirChief. Vijana sasa hivi wengi wao wamekua wavivu sana. Hapo kwenye mazoezi wakikuona unafanya mazoezi wanashangaa maana wamezoea kufanya mazoezi ni kwa watu wanaotaka kupungua tu au wagonjwa.
MAZOEZI NI AFYA na yana faida nyingi mno. BIG UP BRO.
MAZOEZI NI AFYA na yana faida nyingi mno. BIG UP BRO.
kweli mkuu vijana wengi tuna tabia ya kutopenda mazoez..Mimi huwa baada ya mishemishe huwa nakimbia jioni saa 1,sasa huwa nawaomba company vijana wahapa kitaa tukimbie nao wote wavivu..kitambi kwa kijana kibaya sana na ntakikataa milele..
Last edited by a moderator: