Kwani TRA huwa wanampotia nani?

Kwani TRA huwa wanampotia nani?

Candela

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2021
Posts
925
Reaction score
2,527
Huwa najiuliza , kama taasisi ya serikali moja ya nyezo muhimu za kuboresha huduma ni kupokea maoni.

Cha ajabu TRA wakiposti wanafunga maoni, sasa naijuiliza huwa wanampostia nani sasa.

Tafrisi ya haraka ya wanachofanya ni kuonesha kuwa kazi na shughuli zao sio halali.
 
Watu wamechafukwaa wanaweza funguka hadu commissioner akajinyea ofisini
 
Back
Top Bottom