Ethos
JF-Expert Member
- Aug 1, 2015
- 2,294
- 2,057
Wakuu..
Nimekuwa nikifuatilia teuzi zilizotukuka za mh Rais..
Kama kawaida hupenda sana kujaza Academicians katika nafasi mbalimbali hasa wahadhiri wa vyuo vikuu.. Hivi Leo katika teuzi Tatu ni wahadhiri wa vyuo..
Kipindi cha nyuma niliwahi msikia Prof Mkandala akilalamikia kuhusu upungufu wa wataalam hawa pale UDSM Lakini mkuu Amekuwa akiwapangua kila kukicha..
Swali langu ni Je, vyuo kama Mzumbe, UDOM au hata Ardhi huwa havina wabobezi wa maswala mbalimbali? Kwanini hapo UDSM?
Hebu nieleweshwe tafadhali... Nataka kuelewa tu... Sina lingine!!
Ethos.
Nimekuwa nikifuatilia teuzi zilizotukuka za mh Rais..
Kama kawaida hupenda sana kujaza Academicians katika nafasi mbalimbali hasa wahadhiri wa vyuo vikuu.. Hivi Leo katika teuzi Tatu ni wahadhiri wa vyuo..
Kipindi cha nyuma niliwahi msikia Prof Mkandala akilalamikia kuhusu upungufu wa wataalam hawa pale UDSM Lakini mkuu Amekuwa akiwapangua kila kukicha..
Swali langu ni Je, vyuo kama Mzumbe, UDOM au hata Ardhi huwa havina wabobezi wa maswala mbalimbali? Kwanini hapo UDSM?
Hebu nieleweshwe tafadhali... Nataka kuelewa tu... Sina lingine!!
Ethos.