Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 49,736
- 89,326
"Mroma" huyo!View attachment 3526452
Hii mali mbovu. Ni nani uyu?
"Mroma" huyo!View attachment 3526452
Hii mali mbovu. Ni nani uyu?
Kaka mali mbovu inaonekana hata kwa nje tuu😂😂😂😂Usiite mali mbovu kwa sababu tu ya muonekano wake wa nje. Unaweza ukaingia ndani ukakutana na mnato wa ajabu na manjonjo hatarishi uwanjani, kiasi cha kujikuta umeikimbia mali yako nzuri nyumbani.
Na kuna raia zinapiga hapo. Dah.Mali kama hii unapata mbagara rangi tatu,yombo,buza,jet kwa ali mboa, mwananyamara bondeni, tandale kwa mtogore,gongo la mboto mwisho,kwa mparange na chanika visiwani.
😆😆😆😆😆 uzuri wa nje.Usiite mali mbovu kwa sababu tu ya muonekano wake wa nje. Unaweza ukaingia ndani ukakutana na mnato wa ajabu na manjonjo hatarishi uwanjani, kiasi cha kujikuta umeikimbia mali yako nzuri nyumbani.
HahahahahahaaaaaaMkatoliki wa bei ya jioooni mbogamboga wamempa posho kupitia kodi zetu nchi inachezewa sana hii
Kaka hamna kitu hapo. Ebu angalia vizuriHii Mali ni mbovu au ni macho yako tu Blaza?
Shombo utakayotoka nayo ni ya maji ya kisima na harufu za nguru wa kubanikaNa kuna raia zinapiga hapo. Dah.
Ila niggaz yulivyoumbika. Hilo lipua maamae.
Ni lofa mkatoliki.View attachment 3526452
Hii mali mbovu. Ni nani uyu?
Julius akinywa pombe zake hapo kwa miaka 24Fear of unknown
Kaka mali mbovu inaonekana hata kwa nje tuu😂😂😂😂
Nyumba ikijengwa juu ya nyumba ya mtu mwingine lazima pasikalike,
Kaburi ni nyumba ya wafu, iweje juu wajengw nyumba takatifu na WA take kukaa humo?
Ni shart nyumba ya wafu iondolewe ndipo wakae walio hai.
NB: Ukiona mtu anarudi kwao kwa kuhamia na mizigo yake na familia nzima, jua tayari.
Faizaa anakohoa sana na kubanwa kifua.
Genta huyuView attachment 3526452
Hii mali mbovu. Ni nani uyu?
fafanua kidogo mkuu kuna habari njema au?Nyumba ikijengwa juu ya nyumba ya mtu mwingine lazima pasikalike,
Kaburi ni nyumba ya wafu, iweje juu wajengw nyumba takatifu na WA take kukaa humo?
Ni shart nyumba ya wafu iondolewe ndipo wakae walio hai.
NB: Ukiona mtu anarudi kwao kwa kuhamia na mizigo yake na familia nzima, jua tayari.