Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,627
Tanzania (na Afrika kwa ujumla) kuna watu waongo-waongo sana, yaani haipiti siku lazima mtu adanganye tu.
Kazini, mtaani, ndani ya familia kudanganya ni kama 'fashion' kwa watanzania miaka nenda rudi. Kusema ukweli kuna madhara gani?
Kwanini watu wanapenda sana kudanganya? Bila kudanganya utakufa?
Kazini, mtaani, ndani ya familia kudanganya ni kama 'fashion' kwa watanzania miaka nenda rudi. Kusema ukweli kuna madhara gani?
Kwanini watu wanapenda sana kudanganya? Bila kudanganya utakufa?