BIG X
JF-Expert Member
- Nov 4, 2011
- 777
- 212
Kuna watu mtaani huwa sometime wanakera sana, mkianza kubishana au kubishana kidogo ataanza ooh we mtoto wa mama nini!!, au we toto la mama!!. Sasa anaposema hivi anamaanisha nini, kila mtu si kazaliwa na mama!!, kwani mtu unaweza kuzaliwa na mama peke yake!!, Halafu isitoshe Mama ni mama ila Baba anaweza asiwe Baba yako.