Wamajanga
Senior Member
- Jun 24, 2014
- 133
- 47
Mana toka waziri mkuu atoe kauli kwamba tarehe 15 januari iwe ishaanza kufanya kazi lakini hadi leo haijaanza na hakuna kauli yoyote kutoka serikalini,magari tu yanabadilika rangi pale jangwani na kariakoo,tukisema serikali yetu ina mipango ya kitoto tunakosea.